Nasema hivi gari limewaka wakulizima sijamuona mimi mwenyewe nilimfunga mtani kwa kubahatisha lakini uwezo sina mimi simba dam dam lakin mtani gari limewaka 🙌
Ni kweli hata mimi jamaa ambaye tulikuwa wote utotoni sasa hiv hata tukipishana haniambii niaje wala vip tunPishana kama hatujuan ten ni leo hasubuhi sijui ni kwann japo kuwa huwa naumia sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.