Kingnational
Member
- Jul 12, 2022
- 26
- 21
Kidogo jamani yan 40 %Hamna maajabu yoyote infinix
Kidogo jamani yan 40 %Hamna maajabu yoyote infinix
NIlijaribug kutumia infinix ..aisee nilipiga u turn kali sana..mbioooo kurudi Samsung...kias kwamba hata niskie sijui vivo sijui oppo hata sishtukiKidogo jamani yan 40 %
Angalia bei ya simu ndio uongeeFingerprints siku hizi zinakaa kwenye kioo
Ishu sio bei ishu technologyAngalia bei ya simu ndio uongee
Note 30 Pro sio flagship ni midrangeFlagship za Infinix Huwa zinamaana kidgo.Tofauti na itel na tecno.
Sasa unataka upate teknolojia ya juu kwenye simu za bei rahisi?Ishu sio bei ishu technology
Unapata Samsung Galaxy S20 Na Pesa InabakiGharama yake ni 650k mpaka 680k boss wangu
Hiyo S20 ni mpya?Unapata Samsung Galaxy S20 Na Pesa Inabaki
View attachment 2649630
View attachment 2649631
View attachment 2649631
View attachment 2649631
Mpya Kuna Jamaa Kanunua ChinaHiyo S20 ni mpya?
MmmmhMpya Kuna Jamaa Kanunua China
Hapana sio kweliIkishakuwa mediatek yote yaliyomo yanakuwa hayana maana
Labda ingekuwa snapdragon
Ko hapa Chief-Mkwawa tungojee Bei itashuka ama vp na ni simu Gani hizo(brand) zenye hiyo processor kw laki 3Ila wengine wanaitumia mpaka simu za laki 3. Samsung mwenyewe ambaye simu zake Ghali hauzi simu ya Helio G99 laki 6 lakini Infinix akiuza Mapambio kibao.
G90T processor ya miaka kama 4 iliopita imekuwa rebranded kwenda G95, baadae ikaitwa G96 sasa hivi inaitwa G99. Ni processor ya zamani ambayo haina thamani ya laki 6.
Xiaomi ana Redmi 13C version ya G99 na Samsung ana A24 (around laki 4) na A15 pia ina G99 hii inaweza kuwa chini ya laki 4. Poco M5 pia around laki 3.Ko hapa Chief-Mkwawa tungojee Bei itashuka ama vp na ni simu Gani hizo(brand) zenye hiyo processor kw laki 3