Recent content by kingkimwe

  1. kingkimwe

    Natafuta kifaa cha kutengeza hatch kama hii

    Khee kaka hicho sio kifaa silingboard tyu inakunjwa
  2. kingkimwe

    Hivi Wastara ametumia vigezo gani kumkubalia Dudubaya?

    Huyu dem alimchezea vibaya sanaa yule mbunge wa zanzibar sjui ulijua hatokuja kua mzee pumbavu kabisa manamake kama hili...
  3. kingkimwe

    Kati ya tako na sura unachagua demu wako awe na kipi?

    Tako ni kitu kingine hamjui tu mimi kwa kweli team trako af hao illegular face ndo uwa mnato sasa
  4. kingkimwe

    Rachel Dangwa ni supu ya nguru

    Hivi huyu dada ake si yule miss ambaye ni baloz?
  5. kingkimwe

    Hakuna namna unaweza kufanya ili usigongewe mke

    Hiyo ipo kaka watu hawana haya kabisa kuna manzi wa jamaa angu yeye kila siku kabla hayaingia kazin lazima apite kanisan kwa maombi ya asubuh kumbe alikua anaenda kupigwa cha asubuh asubuh na padri sijui hahaha 😆 haya mambo yanachekesha sanaa mpaka jamaa alikuja fumania sms mzee
  6. kingkimwe

    Tatizo la kumbukumbu iliyopitiliza

    Wewe ni kama mie jamaa pia nipo hivo hivo
  7. kingkimwe

    Ili mwanamke akupende inabidi utumie mbinu hii

    Uongo huoooo utadharaulika mpaka utaomba dunia igeuke lbd dem awe hajielewe
  8. kingkimwe

    Kijana unaetaka kuanzisha familia kwa mara ya kwanza, achana na single mother

    All in all kuoa single mother ni upumbavu sanaa hayana mapenz na wewe zaidi ya mtoto ama watoto wake anaweza kukwambia uuze Ata nyumba yako alipe ada ya mwanae ni wabinafsi sanaa , nlijua ukimpata alie kwenye ajira bas mtasaidiana maisha ila wa binafsi vibaya mno kuna jamaa angu alia aisee
Back
Top Bottom