Hiyo ipo kaka watu hawana haya kabisa kuna manzi wa jamaa angu yeye kila siku kabla hayaingia kazin lazima apite kanisan kwa maombi ya asubuh kumbe alikua anaenda kupigwa cha asubuh asubuh na padri sijui hahaha 😆 haya mambo yanachekesha sanaa mpaka jamaa alikuja fumania sms mzee
All in all kuoa single mother ni upumbavu sanaa hayana mapenz na wewe zaidi ya mtoto ama watoto wake anaweza kukwambia uuze Ata nyumba yako alipe ada ya mwanae ni wabinafsi sanaa , nlijua ukimpata alie kwenye ajira bas mtasaidiana maisha ila wa binafsi vibaya mno kuna jamaa angu alia aisee
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.