Inaweza huyo mama akawa kweli hakunyanyashwa lkn kuna taarifa mbalimbali kupigia kwa wasichana ambao wameshawahi kwenda kufanya kazi katika maeneo hayo na wamelalamika kufanyiwa vitendo hivyo na mie Mwenyewe shemeji yangu alishawahi kwenda karudi
Mie nada I sio sahihi kuanzia kumpa mheshimiwa rais eti asifike Arusha labda Kama Arusha sio Tanzania kwahiyo dogo umekimbia bungeni endeleza harakati za kuendeleza jumbo Lako usitake kujiingiza ktk mambo ukajivunjia heshima ktk jamii
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.