zubedayo_mchuzi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 4,873
- 1,220
who is Maige?
Angerudishiwa uwaziri ili asiongee hayo jamani anaua chama chetu
ndoto za alinacha hizoMbunge wa Msalala CCM Ezekiel Maige amekitabiria ushindi mkubwa chama cha Demokrasia na Maendeleo-CDM katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2015.
Maige amesema hiyo inatokana na vita ya makundi ndani ya chama hicho ambacho baadhi ya wanachama wananyooshea vidole wanachama wenzao kwamba ni mafisadi.
Ametoa mfano katika jimbo lake mwenyewe la Msalala kwamba ana uhakika jimbo hilo litachukuliwa na CDM kutokana na chuki na fitina za wanaCCM wenyewe.
SOURCE: NIPASHE JUMAPILI
Huyu maige ni mnafiki tena popo na ndumilakuwili mkubwa sana aliyekubuhu, haiwezekani kipindi ambacho ulikuwa kwenye madaraka haukusema hivyo sasa iwaje leo baada ya kuchomolewa unaanza fitina zako kwa chama chako CCM! Watu kam nyie ndio sample ya shibuda ambaye alipokosa fedha za kampeni kutoka CDM leo anaanza uropokaji, mwanasiasa unatakiwa usiwe ndumila kuwili bali unatakiwa uwe certain na specific eneo, Huo si utabiri bali huo ni ukweli ila unajifanya unatabiri gamba la kobe ww ili upate air time na mavyeo baada ya CDM kuchukua nchi!
CHADEMA HATUTAKI UTABIRI MAFISADI.
Maige@mnafiki.gamba.com
Anafunguka baada ya kuona maji shingoni avue gamba fasta avae gwanda kabisa akisemea ukweli huko aliko watamsumbua.Angerudishiwa uwaziri ili asiongee hayo jamani anaua chama chetu
Maige bwana, unamtabiria marehemu kifo?
Mkuu, ukiwa waziri huwezi kutoa siri za serikali sababu kule kuna uwajibikaji wa pamoja.Jamaa alishinwa kusema ukweli wakati yupo kundini kanyofolewa uwaziri kaanza kuweweseka, CDM ni chama makini hatutaki aje huku atatuharibia abaki na magamba yake:lock1:
cdm waweza kushinda urahisi kama wafuatao watajiunga cdm; Dr Magufuli, Ama Lowassa kwa vile sidhani kama cdm kwa sasa wana kiongozi mwenye sifa ya kuwa Rais wa nchi
Namshauri ajiwahi mapema kuhamia CDM la sivyo jimbo lake Msalala liko rehani!!!!!!ingawa ajiandae kupambana na kesi toka kwa magamba hawatamuachia hivi hivi!!
Mkuu ZZK kidogo anafaa ila sema umri ndo kikwazo