Voltaire
JF-Expert Member
- Sep 1, 2013
- 1,964
- 2,188
Napenda kuchukua fursa hii kuwajulisheni watanzania wenzangu kwamba,kuna nafasi nyingi za kazi za ndani (kupika,kudeki,kuosha vyombo,kulea watoto wadogo na wazee pamoja na za usafi wa mazingira).
VIGEZO:
Umri miaka 22-44.
Akubali kupima magonjwa yote atakayotakiwa kabla ya kuondoka ikiwa ni pamoja na ukimwi.
Gharama ya passport kama hauna utailipia mwenyewe.
Akubali mkataba wa kufanya kazi miaka miwili.
Elimu ni form four au darasa la saba lakini awe na uelewa wa kiingereza kidogo cha maneno,kama,baby,food,clean na zaidi.
MENGINEYO:
Mshahara ni $250-400.
Ticket ya ndege ya kwenda na kurudi.
Usalama wako utahakikishwa sababu wizara ya mambo ya nje ya Tanzania na ya Kuwait zitakuwa na taarifa zako.
KWA MAWASILIANO ZAIDI PIGA 0768883183.
VIGEZO:
Umri miaka 22-44.
Akubali kupima magonjwa yote atakayotakiwa kabla ya kuondoka ikiwa ni pamoja na ukimwi.
Gharama ya passport kama hauna utailipia mwenyewe.
Akubali mkataba wa kufanya kazi miaka miwili.
Elimu ni form four au darasa la saba lakini awe na uelewa wa kiingereza kidogo cha maneno,kama,baby,food,clean na zaidi.
MENGINEYO:
Mshahara ni $250-400.
Ticket ya ndege ya kwenda na kurudi.
Usalama wako utahakikishwa sababu wizara ya mambo ya nje ya Tanzania na ya Kuwait zitakuwa na taarifa zako.
KWA MAWASILIANO ZAIDI PIGA 0768883183.