Recent content by kindi2000

  1. K

    Acheni wenye elimu zao walipwe mamilioni

    nchi haiwezi kufikia uchumi wa kati na wataalamu waliosoma open university. tusidanganyane tz tutasubiri sana
  2. K

    Barabara ya fly over TAZARA, itapunguza foleni?

    TAMBUA FOLENI HUANZA NJIA YA MAKUTANO KWA SABABU YA KUSUBIRIANA
  3. K

    Tanzania is the Best Place to Visit

    MAMA TANZANIA WE LOVE YOU
  4. K

    Clouds Media watapotea sokoni kama Sahara Media

    kuna kipindi chao cha asubui . kinamjumuisha brother k. kusema kweli kinaboa. utoto mwingi
  5. K

    Tatizo la kukatika umeme nchini kumalizika Septemba

    matatizo ya umeme ni project ya watu au chama fulani. tusidanganyane hayatakaa yaishe. muhongo anatupooza kisiasa
  6. K

    Hotuba ya Pieter Willem Botha aliyekuwa Rais wa Afrika ya Kusini ya Makaburu

    haya yatajirudia kwa utawala wa donald trump atakapokua rais wa dunia
  7. K

    Kwa maendeleo haya, wachaga wanastahili pongezi

    SOON TUTAWALETEA DOCUMENTARY YA CHAGGALAND
  8. K

    Polisi wanakunywa chibuku huku wakiwa na mavazi yao kikazi

    civilian woman wearing police cap. inamaanisha raia wa kike amevaa kofia ya polisi. yule mwanamke sio polisi mkuu
  9. K

    Polisi wanakunywa chibuku huku wakiwa na mavazi yao kikazi

    nyaka one jifunze english utafaidi sana.
  10. K

    Rais Magufuli anasema hivi kuhusu misaada

    uongozi ni busara na kipaji sio kuongea kumfirahisha mtu au watu. TAFAKARI
  11. K

    Uamuzi wa kuinyima Tanzania msaada sio wa busara

    KUPATA DEMOKRASIA YA KWELI INAGHARAMA ZAKE. HAMNA RANGI TUTAACHA KUONA KAMA KWELI WADHILI WATAENDELEA KUJITOA NA SISI KUENDELEA KUWA NA KIBURI. TIME WILL TELL
  12. K

    Wanajeshi 8 wa JWTZ watiwa mbaroni wakituhumiwa kumuua raia waliyedai kawaibia simu yao

    sasa hapo ndio utashangaa sheria za tanzania. mwizi wa 4M kifungo cha miaka 20. hawa jamaa uchunguzi utachukua miaka 2 Alafu kesi inafutika wanahamishwa kambi kimekwisha. hii ndiio tz ya maLOFA!!. KIMBILIO NI MUNGU
Back
Top Bottom