Acheni wenye elimu zao walipwe mamilioni

Acheni wenye elimu zao walipwe mamilioni

Dah.. mbona mnajichanganya nyie, mkulu alikwisha sema uwezo wake wa kulipa, kama unaona haukutoshi basi nenda huko ulimwenguni ukalipwe. Kila mtu ana bei yake isipokuwa mlipaji ndiyo anachagua atakayeweza kumlipa. Mbona sekta binafsi zinalipa, tena zaidi ya hizo
 
Unakuta watu wamekaa wanafurahia eti haiwezekani mtu apokee mil.40 halafu mwalimu laki tatu , ukimuuliza huyo mtumishi ametumia gharama gani kupata taaluma yake utakuta kalipa ada mil. Moja na laki tano kwa mwaka mwenzako unayemlalamikia kalipa ada mil.

Hamsini kwa mwaka tena kasoma oxford, havard nk. Vyuo vinavyotambulika ulimwenguni , Popote anaajirika ulimwenguni. Ukimpa organization aiendeshe inakuwa efficiently and effectively. Mtu unamkuta kasoma open univers. Kutwa anasoma past paper hiyo competence ataitoa wapi .

Acheni wivu.
Dah.. hapa kuna ukweli mchungu. Tubadlishe tu mfumo wetu wa elimu. Tuachane na elimu ya madesa/past papers. Tujenge mfumo wa uelewa kwenye fani zetu
 
Unakuta watu wamekaa wanafurahia eti haiwezekani mtu apokee mil.40 halafu mwalimu laki tatu , ukimuuliza huyo mtumishi ametumia gharama gani kupata taaluma yake utakuta kalipa ada mil. Moja na laki tano kwa mwaka mwenzako unayemlalamikia kalipa ada mil.

Hamsini kwa mwaka tena kasoma oxford, havard nk. Vyuo vinavyotambulika ulimwenguni , Popote anaajirika ulimwenguni. Ukimpa organization aiendeshe inakuwa efficiently and effectively. Mtu unamkuta kasoma open univers. Kutwa anasoma past paper hiyo competence ataitoa wapi .

Acheni wivu.
Nimecheka hapo "kutwa anasoma past paper "
 
Hao wa open mnawasema hvyo sie wa vile vya kkoo
 
Sasa kama uliacha vyuo vyetu vya laki unusu, ukaenda kusoma vya milioni 60 ili uje ututishe tukulipe milioni 90 kisa unasoko majuu na vyeti vyako, blaza nenda tu ukapige kazi majuu haukutumwa na serikali ukasomee huko ila ni sababu ulikiwa unajiweza kiuchumi.
 
Dah.. na mimi naona kama mdau kapanic
Tatizo ni pale mnapoitwa kwenye interview, tajiri (muajiri) hachagui anawanaita watu wooote bila kuangalia huyu kasoma vyuo vya kata au yule kasoma ughaibuni. Wote mnachanganywa pamoja. Na anaeibuka mshindi ndie anaelewana na tajiri.
 
Unakuta watu wamekaa wanafurahia eti haiwezekani mtu apokee mil.40 halafu mwalimu laki tatu , ukimuuliza huyo mtumishi ametumia gharama gani kupata taaluma yake utakuta kalipa ada mil. Moja na laki tano kwa mwaka mwenzako unayemlalamikia kalipa ada mil.

Hamsini kwa mwaka tena kasoma oxford, havard nk. Vyuo vinavyotambulika ulimwenguni , Popote anaajirika ulimwenguni. Ukimpa organization aiendeshe inakuwa efficiently and effectively. Mtu unamkuta kasoma open univers. Kutwa anasoma past paper hiyo competence ataitoa wapi .

Acheni wivu.
Efficiency ipi, meneja wa shirika gani kubwa unaweza linganisha mafanikio yake na milion 40 wanazopata, hakuna shirika linaloperform vzr tz useme wastahili 40m, it doesnt matter umesoma wapi kwa kiasi gani, the issue ni impact yako kwenye uchumi na jamii!
 
Unakuta watu wamekaa wanafurahia eti haiwezekani mtu apokee mil.40 halafu mwalimu laki tatu , ukimuuliza huyo mtumishi ametumia gharama gani kupata taaluma yake utakuta kalipa ada mil. Moja na laki tano kwa mwaka mwenzako unayemlalamikia kalipa ada mil.

Hamsini kwa mwaka tena kasoma oxford, havard nk. Vyuo vinavyotambulika ulimwenguni , Popote anaajirika ulimwenguni. Ukimpa organization aiendeshe inakuwa efficiently and effectively. Mtu unamkuta kasoma open univers. Kutwa anasoma past paper hiyo competence ataitoa wapi .

Acheni wivu.
Em waajiriwe huko huko walikosoma then tuone
 
Ujinga nikitu mbaya Sana. Mleta mada Prof Udsm analipwa ngapi? Achen ujinga ujinga tafuten kaz zakufanya sio kuja potosha umma. Kama Prof Udsm apati 40m! Naomba tuache serikal ifanye kaz yake asie taka aende akatafute kaz nje sisi tutasonga mbele nawatarud kupiga magoti kuomba kaz hapa.
 
Serikali ya Ghana inawaomba raia wake waliosoma nje warudi nyumbani kuleta ujuzi na ufanisi waliojifunza huko walikotoka. Mshahara unaaihidiwa ni ule uliouacha unakotoka. Ile kazi ya kufanya kazi kupumzika ni lunch break tu, ikiwa kwenye ofisi zetu production utaona itakavyopanda.

Kuna wakati nilikwenda post asubuhi. Niliwahi sana ofisi ilikuwa imefungwa. Niliamua kukaa kwenye mkahawa. Kuna dada alikuwa anapiga deki mbele. Ilimchukua yule dada saa moja kusafisha corridor.
 
Kama wanao uwezo wa kufanyakazi popote mbona mh. Rais amewaambia waende sasa shida ipo wapi?Nakama kigezo nikusoma kwa ada kubwa na sio kiwango cha elimu basi watoto wanaomaliza english medium waajiriwe kwa mshahara mkubwa tofauti na waliosoma shule za kawaida.Hebu fikiria upya
 
Kama wanao uwezo wa kufanyakazi popote mbona mh. Rais amewaambia waende sasa shida ipo eapi?Nakama kigezo nikusoma kwa ada kubwa na sio kiwango cha elimu basi watoto wanaomaliza english medium waajiriwe kwa mshahara mkubwa tofauti na waliosoma shule za kawaida.Hebu fikiria upya
lazima usawa uwepo katika pay
 
Halafu wengine hicho ndio kiwe kiinua mgongo.
 
Efficiency ipi, meneja wa shirika gani kubwa unaweza linganisha mafanikio yake na milion 40 wanazopata, hakuna shirika linaloperform vzr tz useme wastahili 40m, it doesnt matter umesoma wapi kwa kiasi gani, the issue ni impact yako kwenye uchumi na jamii!

mashirika makubwa tz kwa rasilimali yanahusisha: NMB, CRDB, NSSF, PPF, Dangote*, Acacia, Tanga Cement, Twiga Cement, SSB, MeTL, IPP, NHC, TIB n.k. embu angalia performance then suggest wakuu wake walipweje!
 
Sasa kama uliacha vyuo vyetu vya laki unusu, ukaenda kusoma vya milioni 60 ili uje ututishe tukulipe milioni 90 kisa unasoko majuu na vyeti vyako, blaza nenda tu ukapige kazi majuu haukutumwa na serikali ukasomee huko ila ni sababu ulikiwa unajiweza kiuchumi.
Pia sidhani kama nikujiweza kiuchumi bali ni chain ile ile ya waliojilimbikizia visivyo vya halali
 
Back
Top Bottom