Uamuzi wa kuinyima Tanzania msaada sio wa busara

Hujielew kwan vita vikitokea wanaoathirika si watoto na mama zetu ambao hawajui lolote....

Furthermore jitahd kichwa chako ukifanye kiwe na kazi nyingine zaid ya kufugia nywele

Samahani eeeeeeeeh Pole
hahah its true but very harsh language kwa kweli......anyway you made my day
Ndg Eng nadhani mipombe ya kienjeji imeshakutafuna
ni mawazo yake ni vyema ukaweka hilo wazo lako lililo jema zaidi ili tujifunze zaid mkuu
 
mtoa mada ni lofa sana wewe,kwahiyo marekani iwape madikteta pesabza walipa kodi wake,halafu hata wakiamua tu kula na familia zao pia itabidi wachekelee.
eanazibana pesa zao zisifadhili ukandamizaji na nyie mukiona njaa muwatoe hao watawala wenu wa kiimla
 
How Come!!

Kwamba Zanzibari hawakufanya uchaguzi wa kidemokrasia ndio Msitishe misaada ya kiutu kwa Raia? Wananchi Maskini hawa wamekosa nini..

Watawala waliokandamiza Demokrasia Yenu kwa taarifa yenu hela wanazo. Hawatishwi na mirija mliyo ikata .. hatakama mtazuia kila aina ya msaada wao PESA wanayo sanasana mtatesa raia maskini.. ni aproach ya kipumbavu..

Mimi narejea Wazo langu Waafrika tuunde tawala tunazozijua sisi.. hiki kinachoitwa Demokrasia Hatukijui miiko wa taratibu zake.. mtu akionekana yuko chama pinzani anaonekana Shetani asiyefaa kuishi..Demokrasia Imetubagua Watanzania, umetutenga, tumekuwa maadui sisi kwa sisi, wengine wamekuwa Wakimbizi nje kwa sababu ya Jinamizi Demokrasia Tusilolijua..
Mkuu naona nibora ukaweka dondoo/mbinu/mikakati ya namna ya kuanzisha hizo tawala unazo zisema.Kwaasili ya muafrika kwa asilimia kubwa hataki kuachia madaraka kirahisi kwamaana nyingine haamini kutawaliwa na mwingine.Unataka waafrika waishi bila kuwa na nguvu inayo kinzana na madikteta wa kiafrika halafu iweje?
 
KUPATA DEMOKRASIA YA KWELI INAGHARAMA ZAKE. HAMNA RANGI TUTAACHA KUONA KAMA KWELI WADHILI WATAENDELEA KUJITOA NA SISI KUENDELEA KUWA NA KIBURI. TIME WILL TELL
 
Kuna kipindi zenji walitaka kujitenga kwa SBB za kujiunga na IOC Ili kupata misaada.that's why nawaambia huu ni muda muafaka kwa waarabu kusaidia ndugu zao wa zenji
Tatizo lililopo ni kwamba "watawala hawapo tayari Zanzibar ijiunge na jumuiya yeyote ya kimataifa, kwani kwa kufanya hivyo kuna uwezekano mkubwa wa ZNZ kuinua uchumi wake kwa kasi na kupelekea kujiondoa kwenye muungano huu feki".
 
Sasa wewe Eng. Y. Bihagaze enjinia mzima tena verified user unashauri tuunde tawala zetu lakini hujiulizi hizo zilizokuwepo awali ziliangushwa na nini! Yaani fikiria aina ya utawala ambapo mwananchi kafanya kazi kwa bidii na maarifa na kashamba kake kamependeza, ving'ombe vyake vinanawili saa nyingine na mke mzuri alafu linatokea jamaa kwa kigezo cha 'chifu' anasema kamata hivyo leta kwangu!
Mimi nashangaa akili za watanzania, juzi tu katoka mkuu wa mkoa na PhD yake kututia aibu leo enjinia anatuaminisha kuwa Salim Jecha & Co ndio werevu alafu wapiga kura na walioshuhudia hilo zoezi tarehe 25 Oktoba ni wajinga!
 
How Come!!

Kwamba Zanzibari hawakufanya uchaguzi wa kidemokrasia ndio Msitishe misaada ya kiutu kwa Raia? Wananchi Maskini hawa wamekosa nini..

Watawala waliokandamiza Demokrasia Yenu kwa taarifa yenu hela wanazo. Hawatishwi na mirija mliyo ikata .. hatakama mtazuia kila aina ya msaada wao PESA wanayo sanasana mtatesa raia maskini.. ni aproach ya kipumbavu..

Mimi narejea Wazo langu Waafrika tuunde tawala tunazozijua sisi.. hiki kinachoitwa Demokrasia Hatukijui miiko wa taratibu zake.. mtu akionekana yuko chama pinzani anaonekana Shetani asiyefaa kuishi..Demokrasia Imetubagua Watanzania, umetutenga, tumekuwa maadui sisi kwa sisi, wengine wamekuwa Wakimbizi nje kwa sababu ya Jinamizi Demokrasia Tusilolijua..
Haya ni mawazo na ushauri wa Eng.?
 
kweli wanatunyanyasa.. ila je tunaweza jitengenezea ARV au dawa zozote serious, wakizuia hakuna kutumia product yoyote ya kwao... ushawai waza microsoft, dell na other computer system kina oracle, lawson ni za kina nani?? au wakizuia product zote za kwao zisitumike nchini mfano catapillars bara bara zitatengenezwa na nini, tunawategemea sana wazungu kuliko tunavyojitegemea...


Wacha waende na Pesa zao zenye masharti lukuki...Tutayumba sawa kiuchumi lakini baadae tutakaa sawa!Misaada yao ndiyo imetufikisha hapa....

Tutavumilia tu,riziki anatoa mwenyezimungu

 
kweli wanatunyanyasa.. ila je tunaweza jitengenezea ARV au dawa zozote serious, wakizuia hakuna kutumia product yoyote ya kwao... ushawai waza microsoft, dell na other computer system kina oracle, lawson ni za kina nani?? au wakizuia product zote za kwao zisitumike nchini mfano catapillars bara bara zitatengenezwa na nini, tunawategemea sana wazungu kuliko tunavyojitegemea...




Hawajakwambia kama wanasitisha mahusiano....mbona huko mbali sana?..
 
Siku zote mtegemea cha Nduguye hulalia bati lililo toboka.. kwani hatuwezi kujiuliza HAO WANAOTUPA HIYO MISAADA WAO NANI ANAWAPA MISAADA.

MISAADA haisaidii MISAADA ni UJINGA.. MISAADA NI ULEMAVU WA AKILI.. OMBAOMBA HAPANA SIKU ATAJINASUA ..

Ndio maana wanaweka masharti ya magumu.. Umaskini mkubwa ni kuendekeza DEZO.. stop DEZO.. Kabla hujamwomba mtu kitu jiulize umemfanyia nini inayostahili upewe ukitakacho? Jiulize pia kwani yeye mwenzio Kakipataje..jiulize pia kwani yeye kuna pahala anaombaomba kama wewe!!?

Stop OMBAOMBA ...
We eng unafikiria na kuandika kwa makalio....au?
Nyie mlipokuwa MNA ombaomba mlikuwa mnategemea nini!
Mnasema ohh tutajitegemea wenyewe kutokana na vyanzo vya mapato yetu ...wakati juzi tu mmepokea hela toka Japan na bado za wachina
Miccm nyie mnakuw kama malay@ tu mnafanywa mnavyotakwaaaa....
 
Ninakuunga mkono sana ndugu yangu. Mataifa haya ya weupe yana ajenda za kuendelea kutunyonya tu
 
Back
Top Bottom