Recent content by kinde boy

  1. K

    Nagombea ubunge Mwanga Kilimanjaro

    mghembe lazima apigwe chin nani alikuwa imara kama mramba pesa 2 rombo mbona alipigwa chini viva upinzan ( ukawa) mpaka kieleweke, magamba waliewalie tuu kwa maana hawana pakupumulia
  2. K

    Hii Shule ni Nzuri sana! Nimeipenda

    Chemka is just a fountain of water in forcefull emision from underground ,hapo unapotosha kwa kusema chemka ni hot spring ,hata data za perfomance za hiyo shule ni za uongo .
  3. K

    Ukweli ni kuwa Kijana Ole Nasiso alipingwa risa na Polisi Siha

    inasikitisha sana mtanzania unakuwa mkimbizi na mtumwa ndan ya taifa lako lilopata uhuru miaka 50 iliyopita ,hapa ni kupambana ili kumuondoa mkolon mweusi ccm ,anayeuza nchi hii kwa wazungu kwa bei rahisi ,sasa tumechoka tupigwe tuu ila hatukubali kushindwa lazima tuidai haki yetu kwa nguvu zote...
  4. K

    Tanzia: Padri Sixtus Kimaro afariki dunia

    R.I .P father s kimaro .
  5. K

    Kiteto, Siha hakukaliki

    viongozi waliopewa dhamana ya kuhakikisha raia wanaishi kwa aman na uhuru nao wamechoka ,sasa raia kazi ni kwetu kudai haki yetu kwa gharama yoyote ,hawa wawekezaji wanyanyasaji sana ,eti wameajir watu 75 ,huu ni wizi mtupu ,na malipo yenyewe ni ya ajabu sana .cha muhim raia wa siha mwendo ni...
  6. K

    Maskini tembo wetu

    hii inafanywa na hawa wachina ,ndo the source of all evils wakishirikiana na maccm
  7. K

    Vodacom mtandao usio wakutegemea

    hawa voda ni majanga tuu ,kuanzia m-pesa ada za kutuma ,kutoa pesa zimekuwa mwiba ,na ni heri hata kama unatumapesa utume kwa njia ya benki ,ukatoe kwenye atm at least kiwango chochote unaktwa sh 700 kulikon hawa voda kila kiwango cha hela kina ada yake , kingine ni kupunguza dakika ,na mb ,na...
  8. K

    Malalamiko: TIGO Tanzania

    jana wamenikera sana hawa tg ,najiunga nikitegemea kupata dakika 25 na mb 75 matokeo yake napata dakika 20 na 50 mb kwa sh499 huu ni wiz wanafanya hawajali wateja wao ,inabid kugomea hii mitandao yao
  9. K

    Hivi kwanini wanadada wanayo miandiko mizuri kushinda wanaume?

    cha muhimu hapo ni point na sio mwandiko
  10. K

    Wabongo kwa misemo mimi hoi

    ukiwa masikin unapoteza marafik
  11. K

    Nalaani Idira ya Maliasili Butiama kwa kumuua Kiboko

    walidhan anapembe kama tembo ,wapate za kwenda kuuza china ili wapate pesa za kufanya compaign za ccm
  12. K

    BBC watafakari mkataba wao na Star tv ili kuwatendea haki watazamaji wa BBC Swahili

    hao star media wanaupendeleo sana wapo kichama ccm zaid hata magazeti rfa asubuh kama.kunahabar zenye kukosoa serikal ,au za upande wa pil ,hawazisomi ,au wanadai kuna tatizo la mawasiliano ,had mda uende sana wanajasoma hbr za michezo tuu ,na wanamaliza ,
  13. K

    Al Jazeera: Meno ya tembo yalisafirishwa ndani ya ndege ya Rais wa China! nchini Tanzania

    ama kwel baba riz kachoka ,kama kachoka asiuze nchi hii kwa bei rais kwa wachina atuache na rasiliamal zetu
Back
Top Bottom