kiwatengu
Platinum Member
- Apr 6, 2012
- 19,489
- 18,379
hahaha! ila kashajibu jamaa
fine nimemsoma
hahaha! ila kashajibu jamaa
Promo safi ya kijanja, ila kwa taarifa tu mtihani wa Kidato cha Pili sio wa Taifa (isipokuwa kuanzia mwaka huu) na kuna shule zaidi ya 40 (kitaifa) unless ulimaanisha kimkoa (hata hapo nadhani zipo zaidi)
hiyo shule iko karibu na lerai sek haina mti wala ua halafu umesema uongo mwingi sana kiasi mtu akija hapo lerai anaweza akutukane sana hii ni shule inajengwa bado mazingira fake ni mabovu sana
force emission afu hayo maji yasiwe hot?Chemka is just a fountain of water in forcefull emision
fhapo unapotosha kwa kusema chemka ni hot spring ,hata data za perfomance za hiyo shule ni za uongo .
hiyo shule iko karibu na lerai sek haina mti wala ua halafu umesema uongo mwingi sana kiasi mtu akija hapo lerai anaweza akutukane sana hii ni shule inajengwa bado mazingira fake ni mabovu sana
una uhakika na unachoongea?
Bdo nawaza hzo shule 40 ni za wap???
picha ya nini sasa mkuu ya matokeo au?
Kanisa Katoliki Mkoa wa Kilimanjaro pekee inashule zaidi ya hamsini..sasa sijui hizo shule 40 kazitoa wapi..
...tutafutie iliyoshika nafasi ya kwanza..itakuwa nzuri zaidi ya hiyo.....
Gud Promo