Wabongo kwa misemo mimi hoi

Wabongo kwa misemo mimi hoi

Hii nilimsikia mtoto mdogo wa miaka minne;
Eti, nimevaa shati zuri hadi Mungu anaona wivu.
 
Kuja wa tu hizi thread ni uwanja wao. Kuja mtoto wa miaka minne nilimsikia akisema "mwanamke sura, tabia itarekebishwa"!!!
 
Asanteni kwa misemo jamani maana leo nilikuwa nachat na mtu basi nimemtoleaje misemo hd kanyoosha mikono juu kumbe mwenzio naiga tu hapa.
 
Back
Top Bottom