Nagombea ubunge Mwanga Kilimanjaro

Nagombea ubunge Mwanga Kilimanjaro

Kwani Lowassa ni Mmasai? Lema wa Arusha naye ni Mmasai/Muarusha? Aden Rage ni Mnyamwezi? Wenje naye ni Msukuma?

Sheria hailazimishi kuwa Mgombea lazima awe wa Kabila asilia ili agombee nafasi ya uongozi.

Vv

asante mkuu kwa kuwapa darasa hao
 
Tadayo ndio anauwezo n watu wanaomsapot ni wazee bt tatizo maghembe anasaidiwa n serikal, ww sokoine kagombeee kwenu tuachie jimbo letu

mwanga naijua vizur mkuu,nimezaliwa usangi panua uwezo wa kufikir kidogo
 
habar wana Jf,jimbo la mwanga ni jimbo ambalo lipo mkoa wa kilimanjaro limetawaliwa na ccm miaka yote kwa uwezo wangu nilionao vijana na wakinamama wameniomba nigombee ubunge katika jimbo hili kwa tiketi ya cdm,hakika jimbo hili linahitaji kijana ambaye ni compitient ili aweze kuwatoa sumu ambayo wananch wamepandikizwa,nayafaham vizur matatizo ya jimbo,mbunge wa sasa pro.magembe amekuwa mzigo katika jimbo hili.nakaribisha ushauri wenu

Mwenye jimbo ni huyu henry kileo
 
Last edited by a moderator:
mghembe lazima apigwe chin nani alikuwa imara kama mramba pesa 2 rombo mbona alipigwa chini viva upinzan ( ukawa) mpaka kieleweke, magamba waliewalie tuu kwa maana hawana pakupumulia
 
Hoja au vioja mkuu? ondoka nyuma ya keyboard na uwe public ubunge sio uenyekiti. Kama kweli una nia jiweke hadharani sio gizani

nimefanya jitihada kubwa sana nikiwa chuoni kwenye tawi letu la vijana cdm kuimarisha chama sasa wewe unafanya poronyo tu
 
Back
Top Bottom