Tanzia: Padri Sixtus Kimaro afariki dunia

Tanzia: Padri Sixtus Kimaro afariki dunia

nchi hii ina maajabu sana. yaleyale ya Balali!
 
Wakiamua kuitisha rokoo huko magerezani mbona itakuwa aibu.. Asilimia kubwa ya wafungwa wametolewa kinyemela..
 
Nashangaa, nilijuwa yuko jela;
Hii nchi kweli ni vituko kila upande.

Tunafungwa wenzangu na mie lakini wao hata kama kafanya kosa wanakuja wanasheria wake ambao kazi yao ni kuangalia wapi taratibu za kimahakama zimekiukwa ili wapajengee hoja ya kumtoa, ni heri ushitakiwe kuliko kushitaki nchi hii maana mpaka upate ushahidi mbona utakoma
 
Mliwa yupo kimyaa nyiye kelele. Nadhani alikuwa wa kwanza kwenda Lugalo kumwona mume wake. Sijui alivaa ushungi!!!Pole zake askofu mkuu wa Jimbo kuu la darisalamaaaa. Vituko vyenu haviishi. Mmemlipia cha juu akatoka na kwenda kuwa muwakilishi wenu huko Msumbiji.
Tena msibishe hilo kwani habari zilitumwa kwenu kama mjumbe wenu huko Msumbiji. Tena msikatae kwenda kumzika kwani kama sio hao askari wenye kunusanusa visivyo wahusu, leo angekuwa kaanzisha mtala kwenye Parokia aliyokuwepo. Kwa heriniiiiii
 
Back
Top Bottom