Kiteto, Siha hakukaliki

Kiteto, Siha hakukaliki

Yule mama Mkuu wa Wilaya…
tena alikuwa ni Mbunge
mwenzangu, tunafahamiana na
ni kabila langu. Hana uwezo Rais
Kikwete anambeba, amuondoe
ameshindwa kulinda amani,
amekuwa akibagua na kuegemea
ukabila, RC naye awajibishwe,”
alisisitiza.

Kwa Maneno hayo hakika Dr Slaa ni Kiongozi. Heko Rais wangu. Dr Slaa.
 
viongozi waliopewa dhamana ya kuhakikisha raia wanaishi kwa aman na uhuru nao wamechoka ,sasa raia kazi ni kwetu kudai haki yetu kwa gharama yoyote ,hawa wawekezaji wanyanyasaji sana ,eti wameajir watu 75 ,huu ni wizi mtupu ,na malipo yenyewe ni ya ajabu sana .cha muhim raia wa siha mwendo ni huohuo had kieleweke ,ukikamata mwekezaj piga mkuki ,wanatumalizia rasilimali zetu sisi tunazid kuwa masikin .
 
Back
Top Bottom