Naomba mwenye kutafsiri hii kitu imenikuta leo.... ni maelezo marefu kidogo lakini nimejaribu kuelezea in details zote..
Kuna kitu kimenitokea usiku wa leo inaweza kuwa ndoto lakini i feel it was more real..
Nilianza kuota kama nipo kwenye bas then nikamuona mtu ambae nilisoma nae sekondari...
Huu ni uwongo uliotukuka,
Mwakabibi kama binadamu ana mapungufu yake mengi tu.... ila kwa haya mnayosema hapana... uwepo wa mahabusu kwa ajili ya watumishi wachelewaji ni uzushi uliotukuka kabisa.
Hiyo mahabusu isemayo ni kwa ajili ya watu wanaokamatwa kwa kutokuwa na leseni za biashara na...
Huyo jamaa kakitafuta kifo mwenyewe kaambiwa mara kadhaa aweke silaha chini hakutii... Na alivyoamua kuweka askar alihisi anataka kuitumia ndio maana akamshoot
Nina amini utawala wa kidikteta huwa una mwisho. Inaweza chukua miaka hata ishirini lakini sio milele, iko siku wananchi watachoka na wataliazisha. Kuna mtu alijua kuwa omar al bashir atatolewa na jeshi lake, je raisi wa algeria atang'oka ilhal amekaa madarakan miaka kibao. Hili ni somo kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.