Kufuzu AFCON-2019: Stars yashindwa kufunga mahesabu mapema! Yakubali kipigo cha goli 1-0 kutoka kwa Lesotho

Tena ukiniudhi ndiyo nitaiachia sasa hii ' Hirizi ' nilioishika hapa inaotusaidia tusifungwe ili tufungwe sasa rasmi ukasirike zaidi.
Achia kweendraa huko nyie mnajifanya wajuaj tuu Tafadhali usiniudhi hapa nlipo
 
Timu ya Taifa la Tanzania maarufu kama Taifa Stars leo inashuka dimbani dhidi ya Lesotho katika mchezo wa leo kuwania kufuzu fainali mataifa ya Afrika AFCON 2019.

Taifa stars wataanza mechi ya leo kwa kumkosa mshambuliaji wake hatari Mbwana Samatta kutokana na Kadi ya Njano aliyoonyeshwa mchezo uliopita.

Kikosi cha Taifa Stars kinachotatajiwa kuanza katika mechi ya leo.

View attachment 938555
Kituuuuuuuuuuu
 
Kumbe tulishashinda banaaa...

Mapema sana Mkuu na kile Kikosi nilichokiweka hapa jana ndicho ambacho ' Kinyota ' kingeturahishia hii mechi kuliko tunavyohangaika sasa. Wawe wanasikia pia na mawazio yetu kwani hii mipira hasa ya Kiafrika ina ' tamaduni ' zake za mila na desturi.
 
Kiukweli vijana wanaonekana wapo kwenye changamoto kubwa kiasi wanakosa umakini katika kucheza kwao kwa hali hii inaonyesha matokeo ni sare ti
 
Back
Top Bottom