Tatizo wa Tz hatuna utamaduni wa kuheshimu system, ndio maana kuna wakati kilio kilikuwa ni nchi ipate kiongozi wa kutunyoosha, hizo nia njema hata zilipoachwa hazikupata kuisha kwa wema.
Watanzania nani ameturoga? Yaani ni mtu anaweka umbea tayari watu tunaotegemea wangeonesha walivyoelimika nao wanaanza kutiririka kwa "speculations" na maoni binafsi "opinions"! Au mfumo wetu wa elimu una kasoro? Au ndio ya vyeti bandia? Kwanini hatuoni constructive criticism? Zitusaidie kuona...
Hao kwa sababu wameonesha kutoaminika na kutojiamini kwa kuacha kusimamia wanachokiamini ,na kushirikiana na waovu kwa maslahi yao, dawa yao ni kutowpigia kura
Wale mnaoshabikia matukio, na " imani kwa viongozi" mmeshawahi kujiuliza kuhusu ni itikadi gani mnaifuata katika kuleta mabadiliko ya uongozi wa nchi kupitia mfumo wa vyama vya kisiasa? Kwa mfano mnaamini katika kufuata maadili au hata jambazi anaweza kuwa Rais ili mradi atawapa ushindi? Kama...
Labda huwa wanawaza namna walivyo "tendwa" mara kadhaa siku za nyuma . Na ile hofu kwamba itakuwaje na huku nikitendwa? Kiujumla ni kukosa kujiamini labda.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.