kweleakwelea
JF-Expert Member
- Nov 29, 2010
- 3,065
- 1,535
Dah fisadi kuu anatisha!!!!! Hivi waziri Mpangi anapitaga humu kwenye midahalo kama hii?
Jitihada kubwa zinafanyika ili nchi iendeshwe kwa mtindo wa 'business as usual' Ni kasehemu ka watu walioguzwa na kuathiriwa ba haya mabadiliko na wanajitahidi kuyazuia'Ukifanya comparative analysis ya kipindi cha sasa na cha tawala nyingine kwa kipindi kama hichi. Bado huu utawala umeshafanya mengi sana. Sema kuna watu tumegundua ni mabingwa wa kufanya lobbying kupinga juhudi zote zinazofanywa na Rais akati watu wenye akali wanaona mengi yana manufaa kwa taifa.
mambo ya uchumi achia wachumi sasa Biashara kuwa ngumu Mtaani unataka ipimwe kwa vipimo gani au unataka pepa iliyoandikwa na Profesa ndio uaaminiNtakesha nikifanya hivo. Labda nikuulize tu wewe - kudumaa kwa sector ya usafiri wa anga na biashara kuwa ngumu mtaani umevipima kwa viashiria gani? Na unipe na ufanano na vipindi vilivopita.
hivi unajielewa ww mbona unajijibu mwenyewe!! hata kama serikali ilikuwa inaweka Tsh 1 kwenye bank A pindi itakapoondoa hiyo shs 1 lazima itakuwa na athali ya kiuchumi ya Tshs 1.Mfano unaposema "mabenki yamenyang'anywa pesa na serikali" lazima unifanyie tafiti na uje na mahesabu kutoka kwenye benki zote Tanzania. Kisha uniambie serikali ilikuwa na akauti kwenye mabenki ya kibiashara zipatazo kadhaa zilizokuwa na total ya Shilingi kadhaa. Kisha usiishie hapo uende pia kwenye balance sheets za mabenki ufanye comparison ya ni kiasi gani kila benki ilipoteza kutokana na sera za serikali.
Halafu pia ntataka uniambie je ni kweli hizo deposits zote za serikali kwenye mabenki zilikuwa zinazalisha? ikiwa na maana kama zilikuwa benki za kibiashara wanazitoa kama mikopo ili wapate pato la riba?
Ndo mana nasema nikisema nikujibu kwenye hoja zote hizo ntakesha kwa sababu wengi mnaongea mambo msiyoyajua kutoka kwenye vijiwe vya kahawa. Wala hata hapa sijakujibu chochote kuhusu hii point ya benki ila nimekuonesha kwamba uache kuzungumza na kutoa declarative statements kwa vitu vya kitaalamu usivovielewa kwa kina. Over
ata akifanya ivyo na bado 2 hutamwamin we fanya kama tetes flan iv af ztafutie ukwelMfano unaposema "mabenki yamenyang'anywa pesa na serikali" lazima unifanyie tafiti na uje na mahesabu kutoka kwenye benki zote Tanzania. Kisha uniambie serikali ilikuwa na akauti kwenye mabenki ya kibiashara zipatazo kadhaa zilizokuwa na total ya Shilingi kadhaa. Kisha usiishie hapo uende pia kwenye balance sheets za mabenki ufanye comparison ya ni kiasi gani kila benki ilipoteza kutokana na sera za serikali.
Halafu pia ntataka uniambie je ni kweli hizo deposits zote za serikali kwenye mabenki zilikuwa zinazalisha? ikiwa na maana kama zilikuwa benki za kibiashara wanazitoa kama mikopo ili wapate pato la riba?
Ndo mana nasema nikisema nikujibu kwenye hoja zote hizo ntakesha kwa sababu wengi mnaongea mambo msiyoyajua kutoka kwenye vijiwe vya kahawa. Wala hata hapa sijakujibu chochote kuhusu hii point ya benki ila nimekuonesha kwamba uache kuzungumza na kutoa declarative statements kwa vitu vya kitaalamu usivovielewa kwa kina. Over
Umeona hayo ndo ikonomiki indiketaTangu mwaka huu uanze kumekuwa na mambo fulanifulani yanayoendelea hasa katika uelekeo hasi hali ambayo inatupa wasiwasi kidogo huku mtaani.
Mfano
1: Bandari kukosa kazi na wafanyakazi wa bandari kavu kuanza kupunguzwa
2. Madaktari wa interns kufutiwa posho
3. Madaktari sekta binafsi kupunguziwa mshahara kwa 30%
4. Viwanda kupunguza wafanyakazi
5. Ajira za serikali kusitishwa
6. Kuyumba kwa sekta ya utalii
7. Wanafunzi kucheleweshewa mikopo
8. Mabenki kunyang'anywa pesa za serikali, baadhi ya mabenki yanaweza kufa kwa kuwa hayakuwa na mitaji ya kutosha
8. Kudumaa kwa sekta ya usafiri wa anga
9. Biashara kuwa ngumu mitaani
10. N.k
Naomba watalamu mbalimbali watusaidie kuelewa haya yanayoendelea na nini matokeo yake baada ya miaka 2 au 3 ijayo...
Tafadhari kama huna mchango chanya bora kukaa kimya tuwape nafasi waelewa
Hakuna daktari aliye futiwa posho wizara imesha kanusha!Tangu mwaka huu uanze kumekuwa na mambo fulanifulani yanayoendelea hasa katika uelekeo hasi hali ambayo inatupa wasiwasi kidogo huku mtaani.
Mfano
1: Bandari kukosa kazi na wafanyakazi wa bandari kavu kuanza kupunguzwa
2. Madaktari wa interns kufutiwa posho
3. Madaktari sekta binafsi kupunguziwa mshahara kwa 30%
4. Viwanda kupunguza wafanyakazi
5. Ajira za serikali kusitishwa
6. Kuyumba kwa sekta ya utalii
7. Wanafunzi kucheleweshewa mikopo
8. Mabenki kunyang'anywa pesa za serikali, baadhi ya mabenki yanaweza kufa kwa kuwa hayakuwa na mitaji ya kutosha
8. Kudumaa kwa sekta ya usafiri wa anga
9. Biashara kuwa ngumu mitaani
10. N.k
Naomba watalamu mbalimbali watusaidie kuelewa haya yanayoendelea na nini matokeo yake baada ya miaka 2 au 3 ijayo...
Tafadhari kama huna mchango chanya bora kukaa kimya tuwape nafasi waelewa
Hivi wewe upo nje ya nchi nini..?Umeandika siasa tu.. zaidi ya asilimia 80 ya ulivyoviandika hutaweza kuvitolea ushahidi. Bali umeandika tu kwa kusikia huko vijiweni.