Recent content by kimemie

  1. K

    Chenge: Mimi ni nyoka mwenye makengeza msaka pesa

    Fix tupu... na humpati mtu hapa!
  2. K

    Mitandao ya simu: Kuna nini nyuma ya pazia?

    Yana jiandaa kutoa sadaka kusaidia chama fulani kwenye kampeni za uchaguzi mkuu na kura ya maoni kuhusu katiba. Because otherwise there is no justification on it. Tigo said expansion...i dont about voda. Sasa kama sisi tunalipia moja kwamoja expansionzao kwa nini wasitupataie share??
  3. K

    Wazuri sana wa sura ila matumbo makubwa

    Mhdiwani Tehe tehe tehe Sipendi kabisaa matumbo kama mwembe.Halafu utakuta kavaa kivazi kime shindiria tumbooo mpaka hovyo yeye anaona katooka
  4. K

    Tumbili adhulumiwa kimapenzi...

    I know he has something to share with us.
  5. K

    Tumbili adhulumiwa kimapenzi...

    Whwre is MK254??,
  6. K

    Wayahudi na Waislamu waungana Norway

    Aaaah wa anza sasa! Am one of ua critisizer
  7. K

    Wayahudi na Waislamu waungana Norway

    Nili maanisha kitu chema any way! Bbc ameionyesha wazi!
  8. K

    Wayahudi na Waislamu waungana Norway

    Mk254 wakati fukani huwa unakuwa na vitu zuri sana...kwa jamii
  9. K

    Makubaliano Mapya ya EAC: Je, ni hatua ya kututenga Watanzania?

    Noon of my Business. Kuna watu wanalipwa mishahara mikubwa na kazi yao ni usalama wa nchi hii na kufuatilia watu kwa mtizamo mbali mbali. Kama mimi niwapeleke means watok3 na nikae kwenye hicho kiti chao
  10. K

    Makubaliano Mapya ya EAC: Je, ni hatua ya kututenga Watanzania?

    Nachoweza kukwambia kama upo Dar fanya utafiti na kama haupo Dar uliza. Ama pitia report ya Bunge kamati ya Ardhi kwa nyongeza tuu. Na wala kama haijuwi kile kinaenderea kwa 80%
  11. K

    Makubaliano Mapya ya EAC: Je, ni hatua ya kututenga Watanzania?

    kabombe;11976062]Tanzania ina sheria ngumu sana za ardhi.hao ni kama wamekodi tu.siku yoyote jamhuri inaweza kuitwaa tena bila fidia.mgeni haruhusiwi kumiliki ardhi.ndio maana wakenya wanakasirika Kombe sio kweli hata kidogo labda kama unaishi inje ya Tanzania. Wana nunua na wanapata 99yrs...
  12. K

    Makubaliano Mapya ya EAC: Je, ni hatua ya kututenga Watanzania?

    Vipi wachina wanao sukuma hata mikokotena hapa Tanzania. Hatuwaoni ama nikiburi tuu cha ubinafsi dhidi ya majirani?? Wachina wana nunua Ardhi kqma njugu ndugu zangu. Shituka na amka sasa wee mtanzania
  13. K

    Picha: CHADEMA Mbeya leo, itifaki ya ulinzi imezingatiwa

    Ndugu zangu wa Tanzania. Vikundi hivi vya CCM,CUF,CDMA havifai hata kidogo. Japo kimtazamo ni matokeo ya chama tawala kulitumia jeshi kwa upande mmoja. Rwanda ilikuwa nivikunfi hivivi na matokeyake ndiyo woote tume yaona. Naumia sana na huu mfumo wa vikundi vikundi at mara grean brgd mara red...
Back
Top Bottom