Yana jiandaa kutoa sadaka kusaidia chama fulani kwenye kampeni za uchaguzi mkuu na kura ya maoni kuhusu katiba.
Because otherwise there is no justification on it.
Tigo said expansion...i dont about voda.
Sasa kama sisi tunalipia moja kwamoja expansionzao kwa nini wasitupataie share??
Noon of my Business.
Kuna watu wanalipwa mishahara mikubwa na kazi yao ni usalama wa nchi hii na kufuatilia watu kwa mtizamo mbali mbali.
Kama mimi niwapeleke means watok3 na nikae kwenye hicho kiti chao
Nachoweza kukwambia kama upo Dar fanya utafiti na kama haupo Dar uliza.
Ama pitia report ya Bunge kamati ya Ardhi kwa nyongeza tuu.
Na wala kama haijuwi kile kinaenderea kwa 80%
kabombe;11976062]Tanzania ina sheria ngumu sana za ardhi.hao ni kama wamekodi tu.siku yoyote jamhuri inaweza kuitwaa tena bila fidia.mgeni haruhusiwi kumiliki ardhi.ndio maana wakenya wanakasirika
Kombe sio kweli hata kidogo labda kama unaishi inje ya Tanzania.
Wana nunua na wanapata 99yrs...
Vipi wachina wanao sukuma hata mikokotena hapa Tanzania.
Hatuwaoni ama nikiburi tuu cha ubinafsi dhidi ya majirani??
Wachina wana nunua Ardhi kqma njugu ndugu zangu.
Shituka na amka sasa wee mtanzania
Ndugu zangu wa Tanzania.
Vikundi hivi vya CCM,CUF,CDMA havifai hata kidogo.
Japo kimtazamo ni matokeo ya chama tawala kulitumia jeshi kwa upande mmoja.
Rwanda ilikuwa nivikunfi hivivi na matokeyake ndiyo woote tume yaona.
Naumia sana na huu mfumo wa vikundi vikundi at mara grean brgd mara red...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.