silent lion
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 1,540
- 2,239
Wakuu hii ni zaidi ya wizi. Mimi nina laini mbili za simu, Zantel na tigo.
Kiufupi mimi laini ya Zantel huwa ndio natumia kwa internet, whatsapp na kadhalika kutokana na vifurushi vyake kuwa bomba, na laini ya tigo ni smartphone lakini zile za kizamani zenye qwerty keyboard, ambayo mm hujiunga kifurushi cha Tsh.649 kwa ajili ya kupiga tu na sifungui kabisa internet.
Cha ajabu huwa natumiwa msg na tigo mara unaambiwa umebakiwa na MB 5, mara MB 2 na mimi sifungui kabisa internet. Sasa huwa najiuliza nani katumia hizo MB? ina maana wenzangu mnaotumia INTERNET mnaibiwa jamani amkeni!!!!
Kiufupi mimi laini ya Zantel huwa ndio natumia kwa internet, whatsapp na kadhalika kutokana na vifurushi vyake kuwa bomba, na laini ya tigo ni smartphone lakini zile za kizamani zenye qwerty keyboard, ambayo mm hujiunga kifurushi cha Tsh.649 kwa ajili ya kupiga tu na sifungui kabisa internet.
Cha ajabu huwa natumiwa msg na tigo mara unaambiwa umebakiwa na MB 5, mara MB 2 na mimi sifungui kabisa internet. Sasa huwa najiuliza nani katumia hizo MB? ina maana wenzangu mnaotumia INTERNET mnaibiwa jamani amkeni!!!!