Gari iko vizuri haina tatizo lolote kubwa, Engine haijaguswa. Bei ni Yah. Milioni 4.
Mnunuzi serious nicheki kwa 0758515303 au 0653 626295.
Niko Mwanza
Ulianza vizur uliposema 80% mbele ukaharibu japo kweli waongo wapo,
Binafsi nachokaga miguu sababu ya kubadili mikao ila dushe linakuwa fiti kupitiliza, nikiwa sijachoka sometymz huwa naahirisha game bila kumwaga maana huona napoteza muda sana(huwa nahisi ni tatizo na sio sifa). Mfano kuna Dem...
Ni PM ndugu, naona si vyema kwa yeyote kutoa personal contacts hadharani mapema. Tutumie JF/PM kwanza mpaka hapo ulazima wa kupeana contacts utakapofika
Kukutoa uanachama wa CPA kuna hasara gani?! endapo umefanya mitihani yote na waeshakupa Certificates. kwani si itaendelea kujulikana kazini na mahali pengine kuwa una CPA tayari?, Je utakosa fursa za kihasibu katika kampuni binafsi na serikali sababu tu haulipii membership fee ya NBAA...
Me nionavyo mtaani wauza vitimoto wanaangalia tu bei ya soko kwa kilo na hata walaji pia, mara nyingi wateja wake huwa hawachagui aina(kienyeji au pure) wao ni mradi kitimoto. Sasa humu naona watu wanakatishana tamaa kwa kuleta majibu ya kiprofessional zaidi wakati wajasiriamali wengi humu ndo...
Story yako inanikumbusha miaka ya Chuo; Ndani ya paper ya accounting jamaa kajiandaa kwa kukaa nyuma ya mtaalam wa kufunga makabati chap, 1 hr mdada kamaliza then jamaa akaanza kumuomba booklet acopy. Msimamiz anapitapita huku na kule
Manzi: "Naogopaa nitakamatwa ntadisco"😧
Jamaa: "Aaarghaaah...
Aliyoyafanya uchaguzi 2020 yalinigopesha sana; Nikawaza hivi inawezekanaje aliyekuwa Top Gov Official kwa kipindi kireefu akawa kiuhalisia ni Professional Clown🤡 kiasi hiki🙄
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.