Nitamjuaje mwanaume aliyenipakia mkongo?

Nitamjuaje mwanaume aliyenipakia mkongo?

aiseee hahaha,,mimi natamanigi sana kuitumia hii kitu,,ila nachoogopa isije nifanya nikaloose confidence siku ambayo haipo karibu au nimetaitishwa ile ya ghafla ...cause nasikia watumiaji wengi wa hiyo kitu,,wakitaitishwa zile za kushtukiza wanafeli vibaya mno mpaka manzi anashtukia mchezo
 
Thank you Pep hivi zile dawa za PEP ndiye wewe?
FS una utani wa makofi (sio kama makofi aliyopigwa mwenye uzi kwenye thread yake ya nyuma )

Wanajamvi waliamua zile dawa zisiitwe tena PEP....siku hizi wanaziita mbaazi, instead!

Kuhusu jina langu sasa...

Pep ni jina lililokua derived kutoka Joseph, Josep, Yosef, Yasaph, Yehoseph, Yusuf

Linatumika zaidi na wakaazi wa pale Catalonia/Katalunya nchini Spain

Kwanini nalitumia?

Moja ni kwasababu jina langu linatokea kwenye hiyo list hapo juu

Lakini pia, Josep Guardiola (arguably the most decorated football coach of all time) maarufu kama Pep ni role model wangu kwenye ualimu wa mpira

Yeye ndo amenivutia kufanya badges za football management & coaching

Nje ya kazi yangu ya kawaida, nafundisha team fulani (jina kapuni) kama passion.

Okay, FS?

Sasa embu nifahamishe reason behind Financial Services....wewe ndo mkombozi bank?
 
Hata kwa dudu linalonesanesa mithili ya kifimbo cheza cha afande kifimbo cheza!? 😜😜😜
Mkuu wewe anapita mtoto bila shida sembuse hicho kifimbo cheza😀😀🙌
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Mtoto anapita kwa dakika chache tu dudu la kunesanesa linaweza kunesa nesa kwa ndani kwa 3 hours! Ukamaliza gudulia la maji bado jamaa anakusubiri, ukafuta jasho bado jamaa anakusubiri tu hadi aje kushusha Wazungu cha moto umekiona shurti kuchua kwa sana na vidonge vya kupunguza maumivu ya mwili kwa kukunjwa kila aina ya mikunjo!?
Au nasema uongo ndugu zangu? 😜😜
Mkuu wewe anapita mtoto bila shida sembuse hicho kifimbo cheza😀😀🙌
 
Mtoto anapita kwa dakika chache tu dudu la kunesanesa linaweza kunesa nesa kwa ndani kwa 3 hours! Ukamaliza gudulia la maji bado jamaa anakusubiri, ukafuta jasho bado jamaa anakusubiri tu hadi aje kushusha Wazungu cha moto umekiona shurti kuchua kwa sana na vidonge vya kupunguza maumivu ya mwili kwa kukunjwa kila aina ya mikunjo!?
Au nasema uongo ndugu zangu? 😜😜
Dah haya mkuu ila niamini mimi hata hatuumii hivo hii kitu ni elastic Bak! Haya😀
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Nimekumbuka miaka kadhaa iliyopita , yule. Kaka alikuwa balaaa sijawahi kuona hadi leo, alikuwa anapizi hadi mara kumi
Sasa mnataka nini?
Kupigwa mkuyenge kidogo au sana?

Hatuwaelewi
 
Normal time kwa 80% ya binadamu. Usiongopewe na mtu kuwa bila dawa anasimama lisaa lizima.
Ulianza vizur uliposema 80% mbele ukaharibu japo kweli waongo wapo,

Binafsi nachokaga miguu sababu ya kubadili mikao ila dushe linakuwa fiti kupitiliza, nikiwa sijachoka sometymz huwa naahirisha game bila kumwaga maana huona napoteza muda sana(huwa nahisi ni tatizo na sio sifa). Mfano kuna Dem alishaokolewa na movie(niliweka reminder) nikaamua kumuacha isinipite.

Wengine mkongo tunauonaga kwenye post za insta tu na threads za JF tu.
 
Back
Top Bottom