🙌 wbongo nimewanyooshea mikono🙌Moo Dewji tajiri wa mapicha picha hawezi kumuonga hata million tano , Ana hela za kawaida na ni mbahili kufulu ya Mungu
alimkula rafiki yangu akampa laki moja tu 😂😂 rafiki alijua kapata bonge la boyfriend na Moo anapenda sana nyuma, muulizeni mobeto sasa kylin nyuma flat
Kumbe zile gym zoote ni kutafuta stamina za kusimamia ukucha😂Hahahaha my dear kwakweli tupumzike na kina NEC .tunapitwa na mengi...mjini pazuri Sana...namuonaga Mo Kama mstaarabu Fulani hee .kumbe walewale
Ni kweli sio uongo huo siku mingi sanaUmbea tu
Mahakama imewapa kihalali mali watoto husika wa mengi na wale wadogo wanalindiwa mali na watoto wakubwa wa mengi jackline ni kahaba huria haaminiki alichofanya kimeenda komboo usihangaikie mali za familia zawatu katafute zako from the start my dear walizaliwa 2 children na wazazi wao walifight so tafuteni maisha .Ulivyo andika ni as if Jacky hana haki yoyote na anapaswa kuwanyenyekea wakina Regina ili aweze kupata haki zake
Kwa vyovyote vile Jacky ni mke halali wa marehemu anastahiki zote na mali za marehemu hadi pale mahakama itakapo fanya mgao kila mtu aendelee na maisha yake
Wanachofanya watoto wa marehemu ni ubabe dhidi ya mjane wa marehemu
Wangekaa naye tu chini wakayajenga akapewa kitengo ipp media maisha yangekuwa mepesi tu
Sema sasa watoto hawamkubali mama yao toka baba akiea hai
Amekufa imekua balaa
😂😂😂😂Kutekwa kule usikute sababu alikula biriani la
Hivi alishawai kuona kaburi?Mahakama imewapa kihalali mali watoto husika wa mengi na wale wadogo wanalindiwa mali na watoto wakubwa wa mengi jackline ni kahaba huria haaminiki alichofanya kimeenda komboo usihangaikie mali za familia zawatu katafute zako from the start my dear walizaliwa 2 children na wazazi wao walifight so tafuteni maisha .
Mahakama imewapa kihalali mali watoto husika wa mengi na wale wadogo wanalindiwa mali na watoto wakubwa wa mengi jackline ni kahaba huria haaminiki alichofanya kimeenda komboo usihangaikie mali za familia zawatu katafute zako from the start my dear walizaliwa 2 children na wazazi wao walifight so tafuteni maisha .
Nani??Hivi alishawai kuona kaburi?
Sasa hajapewa ndio ukweli wenyewe hata sheria yenyewe imenyima hakiHii ni kwa mujibu wa maoni yako
Lakini sio kisheria
Najua kama jack ni gold digger lakini ndio mjane wa marehemu kisheria ana haki zake kama mjane
Kinje alikua nae zamani wakati kinje yupo well financially , alikimbiwa baada ya kufuliaKina Kinje wapo.
Hivi klyn anaenda lini kuona kaburi?? Ila Regina kibokoKinje alikua nae zamani wakati kinje yupo well financially , alikimbiwa baada ya kufulia
hata sasa Hana hela huyo kinje , bi dada hawezi kuludi
Sio fair lakini.si alikuwa mkewe??Sasa hajapewa ndio ukweli wenyewe hata sheria yenyewe imenyima haki
Hivi klyn anaenda lini kuona kaburi?? Ila Regina kiboko
Hatariwbongo nimewanyooshea mikono
Ila baba Bonita kiboko .si alikuwa shahidi no moja kwenye harusi? Alivomkana jomoni kweli mungu anamuonasi ndio Christmas inakalibia natamani aende tena kuvamia mageti ya watu machame bila taarifa