Nakubaliana Na mtoa mada Kwa asilimia kubwa kabsa, vijana wengi tuna shauku ya kujiajiri Ila tatizo linakua mitaji, masoko n.k., Na usipokuwa makini hata wazo lako unaweza kuibiwa Na Watu wenye mitaji.
Ethiopia ni moja kati ya nchi zenyewe wanawake warembo sana! Niliwahi kupita Addis Na Ndege ya shirika Lao Ethiopian airline Aisee hao wahudumu wao Ni balaa, jamaa wamejitangaza sana Kwa kupitia shirika Lao la ndege.
Kazi ipi mkuu?? Kutaja majina bila kuwa Na ushahidi? Iv kati ya wote waliotajwa Nani amethibitishwa pasipo Shaka anahusika Kwa namna moja Au nyingine? Na je yupi Ambae Bado yuko ndani Kwa Hilo sakata?
Shame on you!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.