leprincess
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 282
- 456
Umeeleza sifa zako nyingi lakini umeshindwa kusema kama cheti unachotumia ni chako au ume-download? Vipi umehakikiwa na NECTA? Kila la kheri
Aiseeh! We we dada umejawa busara na maarifa! Unaonekana upo makini sana na busara juu, nikipata mwanamke mwenye busara hiv na vile vigezo vingine akawanavyo hata kama sio vyote anaweza hata kuadjust vigezo ilimradi niwe nae mbona nitajiita ee mwenye bahati na furaha tele maishani!Unaweza ukawa na vyote kumbe unaboa.Au unapenda kujiongelea Sana.Hata Kama Una kilakitu utabaki unajiuliza kwa nini wanawake hawakutaki.Haujaandika characters ambazo mwanamke Anataka kuona kwa mwanaume atakayemchukulia Kama mume.
We huoni wanawake wengine bado wanamudu kukaa na wanaume walevi? Au ambao hawaendi kanisani?
Mali inaweza ikawa factor ila how you make a woman feel is the major factor.I think kuandika nini utamfanyia huyo mwanamke na sio nini unacho.Ulichoandika ni muhimu ila sio kila kitu.
Mimi Kama mwanamke huwa siwazi eti kwasababu ya weupe au weusi au umbo au elimu ndio ntakuja kumfurahisha mwanaume.Mwanaume anaona akitafuta hela zaidi ndo mwanamke atampenda zaidi.kwamba mali=Mwanamke.Maybe.Ila Anyway,
minaona ungeandika vitu Kama,
Kuwa mume anayejali.Mume atakayeona umuhimu wa kulea watoto pamoja sio kulipa tu Ada Maana kutokana na qualities ulizotoa hiyo ndo Maana yake.
Utamheshimu mke wako sio kumpotezea au kumdharau.
Hutampiga mke wako.
Nk.
Mfano labda ukapata ajali au ugonjwa wowote terminal ukashindwa kufanya kazi,degree yako ikashindwa kukusaidia tena?
Au ikakubidi uuze hata hivyo viwanja viwili ili umudu matibabu?
Bado atakuwa at your side???
Anything can happen to anyone.
Kwa hiyo jua hizo qualities zako ulizoandika sjui handsome,unaenda kanisani na utanunua gari,nivitu ambavyo vinaweza vikakupa mwanamke wa kumweka ndani ila havi guarantee kuwa atakaa nawewe mambo yasipoenda vizuri.
Ndo ivyo mkuu,wanawake Ni viumbe complicated,we utaona ukipofika Ni perfection kabisa na mwanamke Lazima akukubali.Yani ulipoandika ulijua yani yes,this is it.
Kuoa utaoa.Ila unaweza pia ukabaki shocked na kujiuliza wanawake wanataka nini?[emoji16]
I'm just thinking out loud.
All the best in your quest[emoji4]
NB .Af baadhi ya wanaume sanasana mlioko at your twenties mnakuwa makauzu
Huku chuo eti mnatafuta degree ili mpate hela ndo muanze kuenjoy.Mnatiaga huruma,tafuta girlfriend saivi lasivyo utaishia kusaka Sana mke.watakaokuja Ni wale watakaoona Pesa zako.wengi wenu ndo mnakuja kuwa wachepukaji wazuri.Mnaishi maisha ya kuhonga honga Maana mlishajiwekea mentality ya Pesa kwanza.Kwahiyo unaona kuwa kilakitu kinanunulika.I'm soree.
Yani hawa wanaume hata kwenye kutongoza anakutajia elimu yake mali zake[emoji15]???Inasikitisha kwakweli.
### Maisha hayana formula.
hujaumbika'Asie na kovu! Mh Mungu anakuona ujue! Wengine walipata ajali wakanusurika kifo, una heri wewe ulie na uhakika wa kubaki bila kovu. Ila kumbuka kabla hujafa.......
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] mm nilikuwa wale wanaitwa msongo, wakukomaa na kitabu, sio mjanjamjanja Wa mjini! Ninavyo original mkuu, nimecheka mpaka bac![emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]Umeeleza sifa zako nyingi lakini umeshindwa kusema kama cheti unachotumia ni chako au ume-download? Vipi umehakikiwa na NECTA? Kila la kheri
Ukweli huwa haujifichi, ukweli hufichuo uongo, kama anamtoto au katoa mimba ukweli utamfichua tu!Hongera sana
-Ila katika hivyo vigezo, namba 4 utajuaje kama hajawahi kuzaa na kutoa mimba?
-Namba 3, umesema awe Mkristo ila sio Mlokole. Kwanini?
Hongera sana
-Ila katika hivyo vigezo, namba 4 utajuaje kama hajawahi kuzaa na kutoa mimba?
-Namba 3, umesema awe Mkristo ila sio Mlokole. Kwanini?
Ww ni mke wwUnaweza ukawa na vyote kumbe unaboa.Au unapenda kujiongelea Sana.Hata Kama Una kilakitu utabaki unajiuliza kwa nini wanawake hawakutaki.Haujaandika characters ambazo mwanamke Anataka kuona kwa mwanaume atakayemchukulia Kama mume.
We huoni wanawake wengine bado wanamudu kukaa na wanaume walevi? Au ambao hawaendi kanisani?
Mali inaweza ikawa factor ila how you make a woman feel is the major factor.I think kuandika nini utamfanyia huyo mwanamke na sio nini unacho.Ulichoandika ni muhimu ila sio kila kitu.
Mimi Kama mwanamke huwa siwazi eti kwasababu ya weupe au weusi au umbo au elimu ndio ntakuja kumfurahisha mwanaume.Mwanaume anaona akitafuta hela zaidi ndo mwanamke atampenda zaidi.kwamba mali=Mwanamke.Maybe.Ila Anyway,
minaona ungeandika vitu Kama,
Kuwa mume anayejali.Mume atakayeona umuhimu wa kulea watoto pamoja sio kulipa tu Ada Maana kutokana na qualities ulizotoa hiyo ndo Maana yake.
Utamheshimu mke wako sio kumpotezea au kumdharau.
Hutampiga mke wako.
Nk.
Mfano labda ukapata ajali au ugonjwa wowote terminal ukashindwa kufanya kazi,degree yako ikashindwa kukusaidia tena?
Au ikakubidi uuze hata hivyo viwanja viwili ili umudu matibabu?
Bado atakuwa at your side???
Anything can happen to anyone.
Kwa hiyo jua hizo qualities zako ulizoandika sjui handsome,unaenda kanisani na utanunua gari,nivitu ambavyo vinaweza vikakupa mwanamke wa kumweka ndani ila havi guarantee kuwa atakaa nawewe mambo yasipoenda vizuri.
Ndo ivyo mkuu,wanawake Ni viumbe complicated,we utaona ukipofika Ni perfection kabisa na mwanamke Lazima akukubali.Yani ulipoandika ulijua yani yes,this is it.
Kuoa utaoa.Ila unaweza pia ukabaki shocked na kujiuliza wanawake wanataka nini?[emoji16]
I'm just thinking out loud.
All the best in your quest[emoji4]
NB .Af baadhi ya wanaume sanasana mlioko at your twenties mnakuwa makauzu
Huku chuo eti mnatafuta degree ili mpate hela ndo muanze kuenjoy.Mnatiaga huruma,tafuta girlfriend saivi lasivyo utaishia kusaka Sana mke.watakaokuja Ni wale watakaoona Pesa zako.wengi wenu ndo mnakuja kuwa wachepukaji wazuri.Mnaishi maisha ya kuhonga honga Maana mlishajiwekea mentality ya Pesa kwanza.Kwahiyo unaona kuwa kilakitu kinanunulika.I'm soree.
Yani hawa wanaume hata kwenye kutongoza anakutajia elimu yake mali zake[emoji15]???Inasikitisha kwakweli.
### Maisha hayana formula.
Unaweza ukawa na vyote kumbe unaboa.Au unapenda kujiongelea Sana.Hata Kama Una kilakitu utabaki unajiuliza kwa nini wanawake hawakutaki.Haujaandika characters ambazo mwanamke Anataka kuona kwa mwanaume atakayemchukulia Kama mume.
We huoni wanawake wengine bado wanamudu kukaa na wanaume walevi? Au ambao hawaendi kanisani?
Mali inaweza ikawa factor ila how you make a woman feel is the major factor.I think kuandika nini utamfanyia huyo mwanamke na sio nini unacho.Ulichoandika ni muhimu ila sio kila kitu.
Mimi Kama mwanamke huwa siwazi eti kwasababu ya weupe au weusi au umbo au elimu ndio ntakuja kumfurahisha mwanaume.Mwanaume anaona akitafuta hela zaidi ndo mwanamke atampenda zaidi.kwamba mali=Mwanamke.Maybe.Ila Anyway,
minaona ungeandika vitu Kama,
Kuwa mume anayejali.Mume atakayeona umuhimu wa kulea watoto pamoja sio kulipa tu Ada Maana kutokana na qualities ulizotoa hiyo ndo Maana yake.
Utamheshimu mke wako sio kumpotezea au kumdharau.
Hutampiga mke wako.
Nk.
Mfano labda ukapata ajali au ugonjwa wowote terminal ukashindwa kufanya kazi,degree yako ikashindwa kukusaidia tena?
Au ikakubidi uuze hata hivyo viwanja viwili ili umudu matibabu?
Bado atakuwa at your side???
Anything can happen to anyone.
Kwa hiyo jua hizo qualities zako ulizoandika sjui handsome,unaenda kanisani na utanunua gari,nivitu ambavyo vinaweza vikakupa mwanamke wa kumweka ndani ila havi guarantee kuwa atakaa nawewe mambo yasipoenda vizuri.
Ndo ivyo mkuu,wanawake Ni viumbe complicated,we utaona ukipofika Ni perfection kabisa na mwanamke Lazima akukubali.Yani ulipoandika ulijua yani yes,this is it.
Kuoa utaoa.Ila unaweza pia ukabaki shocked na kujiuliza wanawake wanataka nini?[emoji16]
I'm just thinking out loud.
All the best in your quest[emoji4]
NB .Af baadhi ya wanaume sanasana mlioko at your twenties mnakuwa makauzu
Huku chuo eti mnatafuta degree ili mpate hela ndo muanze kuenjoy.Mnatiaga huruma,tafuta girlfriend saivi lasivyo utaishia kusaka Sana mke.watakaokuja Ni wale watakaoona Pesa zako.wengi wenu ndo mnakuja kuwa wachepukaji wazuri.Mnaishi maisha ya kuhonga honga Maana mlishajiwekea mentality ya Pesa kwanza.Kwahiyo unaona kuwa kilakitu kinanunulika.I'm soree.
Yani hawa wanaume hata kwenye kutongoza anakutajia elimu yake mali zake[emoji15]???Inasikitisha kwakweli.
### Maisha hayana formula.
I wish ungekuwa serious but seems to me you are not...Single ladies na ka u handsome kapo kwa mbali msihofu!
Am serious my dear!I wish ungekuwa serious but seems to me you are not...
Vigezo vyote ulivyotaja nimevi meet nnavyo, except kigezo kimoja tu sina...mwaka jana january nilipataga ajali ya gari nna Kovu hivi mkononi na sehemu zingine ambazo hazionekani, pia my bad nna mchumba tayari.Am serious my dear!
Handsome just neno tu, sababu kila binadamu anajikubali wenyewe jins alivyoubwa na mungu!
Maneno like beautiful, handsome ni maneno tu yakumpaka mafuta binadamu!
Very Sorry!