kweli kaka yani inauma walalahoi tunalipa kodi wabunge mishahara juu.. Alafu wananchi badala ya kuunga mkono mgomo wao wanaupinga wakati wao ndio walaji wa mwisho... Tuungane kwa pamoja kupinga utapeli huu wa serikali dhidi ya raia wake...
muendelezo wa chagga sacos kubebana c unajua zito ni muha..? Lakn kwa kufanya haya wanawafumbua watu macho na kuleta udadisi... Sasa kwa wale wenzangu na mimi ambao sio wachaga akili kumkichwa kama mtaziba maskio na kufumba macho pia sawa...
Ni sahihi min-skirts, tops,tight wears... But vitu hivi tayari uislam ulishaeleza mapema sana lakn wakubwa wakaweka pamba maskioni na kufuata utaratibu wa magharibi ambao ni wakishenzi na usio na stara hata kidogo... Taratibu mtaukubali uislam kwa tabia & maadili yake...
Duuh...! hii mineno c ndogo kihivyo ni big ishu..! lakn tatizo ni dini ya huu upande iko simple kwa kupigia dili town...! yani waumini wa dini hii cjui wanatumia ndumku kufikiri maana SOUND za kitoto kama hz haihitaji uwe na hata certificate kugundua ni changa la macho.. halafu unakuta watu...
kwani mleta mada anataka madaraka au ameonesha hali halisi kwa bosi kubwa kukumbatia watu wale wale ingawa serikali imewasomesha Na Watu Wengne waje kuitumikia nchi lakini wanabaniwa..
kanda ya ziwa mashariki au tanzania nzima hawa cdm hawana chao baada ya watu kuwashtukia labda kwa asiyw wajua ndio atawafuata lakini kiuhalisia jamaa ni magaidi,wezi wabinafsi na zaidi ni wadini wa kupindkia... Hawafai kupewa nchi hata nusu dakika....
saaafi sana kaka!!!!!!!!!!!!! Mimi sioni sasababu ya wengine kuhoji au kuwa na shaka, kwani kulifanyika mkutano wa mashoga hapa bongo sikusika watu wanaongea...........
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.