Kyenju
JF-Expert Member
- Jun 16, 2012
- 5,146
- 2,553
Itv ni mali ya Mchaga..
Kwa nini usianzishe ya Kabila lako, kazi kupigapiga domo na makabila ya watu.
Itv ni mali ya Mchaga..
naamini wapo waliotazama habari leo itv.
Nimeshangaa habari ya zitto kufanya mkutano mkubwa kigoma haikutangazwa. Badala yake ni dr. Slaa akiwa nzega. Ambapo alitumia nafasi hiyo kusema zitto anaweza kuvuliwa uanachama iwapo mashabiki wake wataendeleza propaganda chafu.
We kilaza unamwambia kila mtu hajakuelewa. Hivi hapo umeandika Schrodinger equation hadi watu wote wasikuelewe? Kilaza kweli wewe. Unashupaa mishipa ya shingo kwa tv ya Mengi? mwambie mama yako akazae na mengi halafu uwe unainfluence habari za kutokea itv. pumbafu
1. ITV mali ya R. Mengi
2.Reporter: Devota Minja
3.Cdm mmiliki E.Mtei
4.M/kiti Freeman Mbowe.
Unategemea watangaze habari za,
zitto zuberi kabwe,muha wa kigoma kweli!
Povu! povu! povu!!!!!!!Nendeni TBCccm ndio hurusha habari za kimagamba magamba,
Naamini wapo waliotazama habari leo ITV.
Nimeshangaa habari ya Zitto kufanya mkutano mkubwa Kigoma haikutangazwa. Badala yake ni Dr. Slaa akiwa Nzega. Ambapo alitumia nafasi hiyo kusema Zitto anaweza kuvuliwa uanachama iwapo mashabiki wake wataendeleza propaganda chafu.
Naamini wapo waliotazama habari leo ITV.
Nimeshangaa habari ya Zitto kufanya mkutano mkubwa Kigoma haikutangazwa. Badala yake ni Dr. Slaa akiwa Nzega. Ambapo alitumia nafasi hiyo kusema Zitto anaweza kuvuliwa uanachama iwapo mashabiki wake wataendeleza propaganda chafu.
1. ITV mali ya R. Mengi
2.Reporter: Devota Minja
3.Cdm mmiliki E.Mtei
4.M/kiti Freeman Mbowe.
Unategemea watangaze habari za,
zitto zuberi kabwe,muha wa kigoma kweli!
yaah. mi natoa ufahamu juu ya suala la kila chombo cha habari kuwa na ajenda yake na wakati mwingine itatoa taarifa ambazo ama zitawachukiza kundi fulani na kufurahisha kundi jingine. The ListenerEx DetectiveUmejibu vizuri..
Naamini wapo waliotazama habari leo ITV.
Nimeshangaa habari ya Zitto kufanya mkutano mkubwa Kigoma haikutangazwa. Badala yake ni Dr. Slaa akiwa Nzega. Ambapo alitumia nafasi hiyo kusema Zitto anaweza kuvuliwa uanachama iwapo mashabiki wake wataendeleza propaganda chafu.
Kwani nyinyi wa kusini, mashariki,magharibi mliweka wapi akili zenu wakati hawa wakaskazini wakianzisha hy itv? Tofauti kati ya mtu aliyetoka kigoma na kaskazini ni kuwa yule wa kigoma ametoka kwenye njaa na ukame kwa akija mji yeye lake moja tuu kula na tamaa ili amfikie wa kaskazini ila wa kaskazini anatoka sehemu ya shibe hakuna ukame akifika mjini atazungumzia maslahi ya watu wa chini
nilifanya kazi na mmoja, mbishi huyo, anabishana mpaka na redio.