brenda18
JF-Expert Member
- Sep 17, 2013
- 5,687
- 5,297
Hahahaha
unacheka????kwapa la siafu we
Hahahaha
Nimejaribu kumblock ila anaipata tena namba yangu
Huu ndo ushauri mzuri wa kuufuata,mshirikishe mkeomweleze mkeo ukweli mshirikiane katika kupambana na hilo jinamizi
then block namba yake
akizidi mpige mkwara
asiposikia mpege vitasa( tahadhari na jela tu, usije ukamrestisha)
Shangaa na wewe....
Halafu eti anajidai eti "nimetumia njia zote"
Nyambaf..!!!!!!!!
Nafikiri hujawa serious bado
Hana jipya labda kama kuna kingine!
Kweli kabisa hana mpya...
Yeye kama vipi akalambe tope hilo.....!!!!!!!!!!
Ptuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
Na kweli inaonesha hajawa serious na anapenda anavyotafutwa kifupi hamkeli
asante....ila mie napenda tigo jamani
Huyu jamaa hafai kabisa!!!!!!!!
Yaani kweli ukistaajabu ya musa.... Dunia hadaa....!
Please ni PM nbr yake ( On that divert your problems to me )Tatizo kawa king'anganizi nimejaribu kutumia njia zote wapi huyu raia bado yupo
twanga kinu hicho kijana acha kupoteza fursaMwanzoni sikujua kama huyu jamaa anatabia ya ushoga nilipojaribu kumchunguza vizuri nikagundua jamaa si riziki.
Alianza kunitumia sms za mapenzi huku akinitakia magudinight kila siku
Nimejaribu kumkanya ila naona hasikii hadi wife ameshtukia nakuanza kugomba.
Ameniambia hata nifanye nini lazima nimlale mimi huo mchezo si uwezi kabisa
Msaada please nimuepuke huyu jamaa