Sababu ya Hasira za KAGAME kwa KIKWETE

Sababu ya Hasira za KAGAME kwa KIKWETE

khairun

Member
Joined
May 10, 2012
Posts
68
Reaction score
42
Bwana KAGAME amepata hasira na Tanzania na sio KIKWETE, sababu kubwa ni kwamba nchi yetu imezuia ulaji wake huko CONGO. Haiingii akilini Bwana KAGAME amtukane Rais wetu hazarani kwa sababu ya ule ushauri, Tena ushauri wenyewe unaonekana ukifuatwa tatizo la waasi wa Rwanda litakwisha. Hii nchi ya Rwanda ni wauzaji wa madini nje ya nchi huku wote tukijua kuwa RWANDA haina rasilimamili ya madini, wanapeleka mpaka mchanga wa madini nje ya nchi. TATIZO HAPA NI MASLAHI NA SIO USHAURI ALIOPEWA.Tuungane na nchi yetu katika hili.
 
Bwana KAGAME amepata hasira na Tanzania na sio KIKWETE, sababu kubwa ni kwamba nchi yetu imezuia ulaji wake huko KONGO. Haiingii akilini Bwana KAGAME amtukane Rais wetu hazarani kwa sababu ya ule ushauri, Tena ushauri wenyewe unaonekana ukifuatwa tatizo la waasi wa Rwanda litakwisha. Hii nchi ya Rwanda ni wauzaji wa madini nje ya nchi huku wote tukijua kuwa RWANDA haina rasilimamili ya madini, wanapeleka mpaka mchanga wa madini nje ya nchi. TATIZO HAPA NI MASLAHI NA SIO USHAURI ALIOPEWA.Tuungane na nchi yetu katika hili.

hata bongo alishapenyeza watu na nia ilikuwa hiyohiyo ya wizi!
 
Nasikia hata Bwana Kabwe aliyekuwa Meya wa jiji la Mwanza alimuuzia viwanja huko Wilaya mpya ya Ilemela na inasemekana kuwa alimtumia kumshawishi Rais Kikwete asikubaliane na suala la yeye kuhamishiwa Dar.
 
Bwana KAGAME amepata hasira na Tanzania na sio KIKWETE, sababu kubwa ni kwamba nchi yetu imezuia ulaji wake huko KONGO. Haiingii akilini Bwana KAGAME amtukane Rais wetu hazarani kwa sababu ya ule ushauri, Tena ushauri wenyewe unaonekana ukifuatwa tatizo la waasi wa Rwanda litakwisha. Hii nchi ya Rwanda ni wauzaji wa madini nje ya nchi huku wote tukijua kuwa RWANDA haina rasilimamili ya madini, wanapeleka mpaka mchanga wa madini nje ya nchi. TATIZO HAPA NI MASLAHI NA SIO USHAURI ALIOPEWA.Tuungane na nchi yetu katika hili.

Kikwete anayeshauri wengine yeye anahitaji ushauri wa haraka zaidi! Arusha wameuwa watu kwenye mkutano wa Chadeama kwa bomu la kurushwa kwa mkono. Wauaji wanajulikana lakini wanalindwa na serikali!
 
mgogoro wa congo haukuanza leo, na kikwete hana ubavu wa kuumaliza, huo muda angetumia kutatua matatizo ya ndani,
hizi hoja za kuwa wanajeshi wetu wanalipwa na UN sio za msingi, watumie huu muda ambao nchi imetulia hata kulima mashamba tupambane na njaa ambayo ina athari ya moja kwa moja kwa Watz kuliko vita vya Congo, vinginevyo kama na Tz imeenda Congo kutafuta hayo madini.
 
mgogoro wa congo haukuanza leo, na kikwete hana ubavu wa kuumaliza, huo muda angetumia kutatua matatizo ya ndani,
hizi hoja za kuwa wanajeshi wetu wanalipwa na UN sio za msingi, watumie huu muda ambao nchi imetulia hata kulima mashamba tupambane na njaa ambayo ina athari ya moja kwa moja kwa Watz kuliko vita vya Congo, vinginevyo kama na Tz imeenda Congo kutafuta hayo madini.
Kagame anamtaka Jakaya Kikwete kwa Jina lake na familia yake wala sio Tanzania hivyo naunga mkono Kagame kumtwanga Mrisho Kikwete
 
Kagame anamtaka Jakaya Kikwete kwa Jina lake na familia yake wala sio Tanzania hivyo naunga mkono Kagame kumtwanga Mrisho Kikwete

Nyerere alipomtaja Idd Amin kwa jina lake alimaanisha Idd Amin au Uganda? Think big! Usiwe na akili ya hivyo jamaa yangu,hapa ni nchi na nchi!
 
Nyerere alipomtaja Idd Amin kwa jina lake alimaanisha Idd Amin au Uganda? Think big! Usiwe na akili ya hivyo jamaa yangu,hapa ni nchi na nchi!
Kaka humu tumevamiwa na akina saint KAYUMBA nursery school pupils.
Yeye akitajwa mbowe anadhani ni Bilcanas, akitajwa JK anadhani ni msoga na akitajwa nyerere andhani ni mwintongo!!!!!!!
Usipoteze muda wako
 
kama vipi wapande jukwaani wazipige wao as individuals,...
 
Kenya ndiyo wauzaji bora wa Tanzanite kwenye soko la nje, umewahi kujiuliza wanakozichimbia?wewe umeona kagame ndiye mbaya kwa kukwapua almasi za kongo na kuzipeleka kuinua uchumi wa nchi yake, ila huoni ubaya kwa wakenya kupora tznite yetu na kuipeleka kwao,wewe si mzalendo.
 
Kagame hajui Tanzania ni ya wamarekani anadhani wafaransa wakiungana na wanazi wenzao wataPAmbana na Tanzania pekeee,? NO Obama ndani!

Washington Dc ndo wenye masilahi zaidi ya wote hao.
 
ukumuke KENYA hawajakuja kuchimba tanzanite Tanzania bali hununua kwa watu binafsi wanaopeleka wenyewe huko kwao, na wao kuiuza nje, tofauti na KAGAME yeye amaepeleka majeshi yake yachimbe huko CONGO.
THINk WISE.
 
Kenya ndiyo wauzaji bora wa Tanzanite kwenye soko la nje, umewahi kujiuliza wanakozichimbia?wewe umeona kagame ndiye mbaya kwa kukwapua almasi za kongo na kuzipeleka kuinua uchumi wa nchi yake, ila huoni ubaya kwa wakenya kupora tznite yetu na kuipeleka kwao,wewe si mzalendo.
ukumuke KENYA hawajakuja kuchimba tanzanite Tanzania bali hununua kwa watu binafsi wanaopeleka wenyewe huko kwao, na wao kuiuza nje, tofauti na KAGAME yeye amaepeleka majeshi yake yachimbe huko CONGO.
THINk WISE.
 
nyie kwa mawazo yenu tutawaweza hawa waisrael weusi wa rwanda? kagame anaweza kafanya ujasusi tu akatumaliza. Watuhsi sio wenzetu nyie
 
Back
Top Bottom