nimemwona lusinde karikoo mtaa wa agrey, aliikimbia kambi arumeru sasa wanajipanga kupeleka ripot kwa boc wao mukama, mh. sita na mama kilango nao wapo hoi kwa kupoteza kata walizoenda kuiba kura
mama spika ni kilaza sana kwenye mambo ya law, pili prf. KABUDI, gwiji wa law, AMEMPOTOSHA MAMA SPIKA NA WABUNGE WALIOMSIKILIZA KWENYE SEMINA YA JUZI, AMEPOTOSHA UMMA KUTOKANA KUCHUMIA TUMBO LAKE, HAJAELEZA UKWELI UNAOTAKIWA PRF. KABUDI WEWE NI MTU MWENYE HESHIMA NYINGI KWA WANAZUONI WOTE NA...
Siku za karibuni kumekuwa hali isiyokuwa na msingi wala mantiki yoyote, kwa baadhi ya maofsa wajuu wa jeshi la police kuilamu cdm kwa kila suala linalotekea hususani pale wananchi wanapohoji au kudai haki zao za msingi. UGUMU wa maisha ambao kwa sehemu kubwa umeshababishwa na serikali LEGELEGE...
nina mashaka sana na uelewa wa mh. MEMBE katika masuala muhimu yanayohusu mustakabadhi wa taifa hili na watu wake, M. MEMBE alipaswa kwanza alieleze taifa na bunge kwa ujumla wake ni ni haswa kilichotokea katika sakata la rada.
1. Aeleze uhusika wa tanzania na uingereza katika ununuzi wa rada...
duh hiyo ya sms ni kali ya wik, mama spika alisemaje alipoona ishu ambazo ni personal tena kwa mtu ambaye sio mbunge kuzumziwa bungeni! plz nipeni updates plz
Hamkijui chama cha magamba au! Jk mwenyewe ni msanii kubwa angalia kilichofanyika epa na richmond, matokeo yake amemwacha akina dr. H. Mwakiembe akisota kisisa na kimaisha wakati mapacha watatu wanapeta mtaani
POLENI SANA MNAOITWA WABARA HUKO ZENJI, HAWA JAMAA WANAOJIITA WAZENJI NAONA SAS UWEZO WAO WA KUFIKIRI UMEHAMIA TUMBONI BADALA YA KICHWANI, KUMCHOMEA MTU NYUMBA AU MALI ZAKE UNA MAHUSIANO GANI MUUNGANO? WATAFAKARI MARA MBILI NAJUA HAWA NDUGU ZETU WANZENJI HAWAUTAKI KABISA MUUNGANO ILA WASOME...
Dr. H. Mwakyembe (MP) ninavyojua mimi ni miongoni mwa viongozi wachache sana wachapakazi tuliokuwa nao, linalomkwaza mh. dr. Mwakiembe ni sera mbovu na siasa za chama cha magamba. Nyota yake iliwaka cku nyingi ila wakati wa sakata la richmond alithihirisha umakini wake kwa masilahi ya taifa...
NI hivi majuzi tu nilikuwa natafari kwa kina ni lipi haswa lenye manufaa kwa maisha ya mtanzania lilofanywa ktk miaka ya 2005-2011 na serikali nikagundua kuwa ni Ujenzi wa CHUO KIKUU CHA DODOMA (UDOM). ckuona jingine, wadau jf kama kuna jingine naomba kukumbushwa.
uchizi mtupu, HATA KUFAGIA NA KUZIBUA MITARO TUNASUBIRI MABALAOZI? Kweli hawa watu wanahaki ya kutuona cc na WEHU, I WISH WAFUNGUE KLINIC MAALUM YA KUPIMA AKILI ZA VIONGOZI WETU
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.