tindikalikali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,855
- 1,117
Asili yangu Bujonde mkuu
Wakuu siku ya jana, mh Mwakyembe, amezuiliwa na wakazi wa Kyela kuingia stendi ya Kyela na kuzomewa na wakazi wa hapa wakidai aliwaahidi lami na hajatekeleza, toka juzi hakuna gari linaloingia stendi, natamani sana kuwatumia picha lakini nipo via mobile
Wangemchapa na bakora kabisa maana kapoteza pesa zetu nyingi kuzunguka Marekani akidai anaichunguza Richmond matokeo yake kaishia kumfichia Bwana Mkubwa madudu yake na akakubali kurubuniwa Pipi ya Unaibu Waziri na kutulia tuli kama keshafika Kileleni.
MWAKYEMBE nae KWISHNEAA...
mwakyembe ni Fisadi kuliko wengine, na ni muongo sana lakini si Mwanasheria? ndio mabingwa wa kusema uongo na kukufanya uamini kuwa ni kweli, halafu jeuri mno, hatuwataki wanasheria na maprofesa, ndio waangamizaji kimya kimya
Watu mkizoea majungu na kukurupuka basi mnakufa navyo. Wewe huo upuuzi wa kwamba mamfichia bwana mkubwa madudu umeuokota huko mtaani kwenu nini? Jadili mada hapa ambayo ni kuzomewa na ahadi ya lami, usitake kuchanganya watu hapa. Kwanza habari yenyewe imebaki kuwa uvumi tu usio na uthibitisho.
Mwakyembe ni FISADI kuliko hao anaowataja, sema yeye ni mwanasheria, hatumii jina lake, lakini fisadi mkubwa asitudanganye chochote
[font="] [/font]
[font="] mzimu wa sakata la kampuni tata ya richomond, umezidi kuwaandama wanasiasa nchini, sasa[/font]
http://uniqueentertz.blogspot.com/2011/05/drmwakyembe-atakiwa-kujiuzulu-chadema.html[font="] ikiwa ni zamu ya naibu waziri wa ujenzi, dkt. Harrison mwakyembe ambaye ametakwa kujiuzulu kutoka serikalini ili kutunza uadilifu wake baada ya serikali kupuuzia maagizo ya kamati teule ya bunge iliyochunguza sakata la kashfa hiyo.[/font]
[font="] ameambiwa kuwa iwapo ataendelea kung'ang'ania kubaki katika serikali ya namna hiyo, atakuwa anafanya hivyo kwa sababu ama ya 'uroho na ulafi' wa madaraka au kutokuwa na uwezo wa kusimamia misimamo ya uongozi adilifu, tofauti na watanzania wengi wanavyomwelewa.[/font]
[font="]hayo yalisemwa jana na mmoja wa makada wa chama cha demokrasia na maendeleo (chadema), bw. Fred mpendazoe, ambaye katika bunge lililopita kabla hajajiuzulu ubunge wake wa kishapu alikuwa ni mmoja wa wajumbe wa kamati ya kudumu ya bunge ya nishati na madini.[/font]
[font="] akizungumza katika mikutano ya operesheni sangara ya chama hicho katika nyanda za juu kusin, mkoani mbeya, amesema kuwa dkt. Mwakyembe ndiye alikuwa mwenyekiti wa kamati hiyo teule ya bunge, ambayo katika moja ya mapendekezo kwenye ripoti yake, ilitaja watendaji wa serikali waliohusika katika kashfa hiyo, mmoja wao akiwa ni bw. Bashir mrindoko, ambaye wakati wa sakata la richmond, alikuwa ni kamishna wa nishati, katika wizara ya nishati na madini[/font]
[font="]bw. mrindoko ambaye hivi karibuni aliteuliwa na rais kikwete kuwa naibu katibu mkuu katika wizara ya maji, alikuwa kwenye orodha ya kamati ya dkt. Mwakyembe ikipendekezwa achukuliwe hatua za kinidhamu kwa kushindwa kumshauri katibu mkuu mpya wa wizara kuhusu udhaifu wa richmond development company llc.[/font]
[font="]bw. Mrindoko ndiye aliyeiandikia barua kampuni hiyo kusitisha mkataba wake na serikali mwezi mmoja tu kabla ya mchakato wa zabuni ya umeme wa dharura haujaanza.[/font]