LoyalTzCitizen
JF-Expert Member
- Sep 15, 2010
- 2,234
- 883
Hayana hata aibu! yakk!! Ngoja nitafute gun yangu!!
ndugai anasema wapo uk wakiwawakilisha wabunge, inamaana chadema wameunga mkono swala hili? waingereza sio wajinga wanamafile yote ya wahusika wa rada hapo wamewapa tz kamtego tu
siungi mkono fedha hizi zirudishwe serkalini
wadau hebi nisaidieni. huyu dogo wa kulia anafanana na lema wakati akiwa mdogo. niko sahihi?