Kama Mungu alifanya kwa watu wa zamani ,akafanya kwa vzazi vya sasa na leo pia yupo tayar kufanya kwako kama utamtegemea.Wala usijiingize katk imani potofu we piga got ongea na Mungu wako.Mungu anasubir upeleke hoja zako mbele zake naye atafanya
Huo ni mtazamo wako na kila mtu ana chaguo lake.na ndo maana kuna weupe weus, warefu, wafup, wanene na wembamba.Hata wew hapo ulipo c kila mtu anapenda watu weny umbo/mwonekano kama wako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.