kijani11
JF-Expert Member
- Jan 19, 2014
- 8,348
- 9,082
Mjomba una bifu na mhadhiri wako nini?Uyu jamaa kam nakusom iv ila sina uhakika san.ila kam ni ww ndio yule lecture wa MuCobs pale moshi mwalimu tena na unamichepuko lukuki na bhad unatok na university student wa age iyo uliyosem apo? Deem em kaa mbali maan uyo bidada hakupend maan alifum mitext yk na michepuko Yako!
Ila usimwaribulie future uyo student maan kuna watu wanaangalia ukiarib unaeza potezwa kweny ramin ya Tz..ni hayo tyu