UKAWA tusililie Uenyekiti wa Halmashauri, hatuna uzoefu!

Gangongine

JF-Expert Member
Dec 31, 2015
3,854
1,776
Nimeambiwa kwamba wanasiasa wetu wameanza utoto na kupoteza muda kwa mambo yasiyo na tija. Eti wanatushawishi tususie Vikao na Ziara ya kukagua Miradi ya Maendeleo. Kwanza tujiulize, Uzoefu wa kuongoza hata Vikao vya Mtaa tunao? Wengi tumetoka vijiwe vya Kahawa hata Halmashauri hatujui zinaendeshwaje! Si tutumie muda huu kujifunza na kufanya mambo waliyotutuma Wananchi? Au tunatafuta umaarufu ambao tulishaupoteza kitambo??
 
Nimeambiwa kwamba wanasiasa wetu wameanza utoto na kupoteza muda kwa mambo yasiyo na tija. Eti wanatushawishi tususie Vikao na Ziara ya kukagua Miradi ya Maendeleo. Kwanza tujiulize, Uzoefu wa kuongoza hata Vikao vya Mtaa tunao? Wengi tumetoka vijiwe vya Kahawa hata Halmashauri hatujui zinaendeshwaje! Si tutumie muda huu kujifunza na kufanya mambo waliyotutuma Wananchi? Au tunatafuta umaarufu ambao tulishaupoteza kitambo??


It is only to fools that experience is the best teacher.
 
Nimeambiwa kwamba wanasiasa wetu wameanza utoto na kupoteza muda kwa mambo yasiyo na tija. Eti wanatushawishi tususie Vikao na Ziara ya kukagua Miradi ya Maendeleo. Kwanza tujiulize, Uzoefu wa kuongoza hata Vikao vya Mtaa tunao? Wengi tumetoka vijiwe vya Kahawa hata Halmashauri hatujui zinaendeshwaje! Si tutumie muda huu kujifunza na kufanya mambo waliyotutuma Wananchi? Au tunatafuta umaarufu ambao tulishaupoteza kitambo??
Sasa ndo umeandika nini hapo hao Ccm walipata wapi uzoefu ? Unataka kunambia walizaliwa na uzoefu wao ? Waache wadai haki yao acheni kubaka democrasia . Kwanza hawajasusia vikao . Watafanyaje vikao wakati wenzao wako police?
 
Niliamini mtoa Uzi huu anauwezo wa kufikili kumbe ni mchovu wa akili wananchi wamewapa dhamana viongozi wa ukawa baada ya kuona Wazee wa majipu ni Wezi .Kama haitoshi hakuna Chuo cha kujifunza uenyekiti au Umeya ambao viongozi wa CCM walisomea Na wakapata huo uzoefu make mistake Ukawa ndio Meya
 
Nimeambiwa kwamba wanasiasa wetu wameanza utoto na kupoteza muda kwa mambo yasiyo na tija. Eti wanatushawishi tususie Vikao na Ziara ya kukagua Miradi ya Maendeleo. Kwanza tujiulize, Uzoefu wa kuongoza hata Vikao vya Mtaa tunao? Wengi tumetoka vijiwe vya Kahawa hata Halmashauri hatujui zinaendeshwaje! Si tutumie muda huu kujifunza na kufanya mambo waliyotutuma Wananchi? Au tunatafuta umaarufu ambao tulishaupoteza kitambo??
HOVYOOOOOOOOOO!!!!!!!!!!!
 
Jana nilisema kuwa wanachofanya ccm ni USHETANI sijui wewe uliyeandika hili upeo wako ukoje! walichofanya ni kuwakamata wajumbe 2 wa ukawa na kuwaweka ndani! sasa hapo uzoefu ninini punguani wewe? Wanachofanya ccm lazima uwe na uhusiano wa karibu sana na SHETANI ndio unaweza kufanya haya! Polisi ole wenu kwani mnatumiwa na shetani kutekeleza AMRI zake!
 
Ndo yale yale unamaliza chuo unaenda Interview wanakuambia tunataka mtu mwenye working experience ya 3 years.

Hiyo experience ataipataje bila kupewa nafasi ya ku fanya. Huu ni upumbavu sana!!!
 
Nimeambiwa kwamba wanasiasa wetu wameanza utoto na kupoteza muda kwa mambo yasiyo na tija. Eti wanatushawishi tususie Vikao na Ziara ya kukagua Miradi ya Maendeleo. Kwanza tujiulize, Uzoefu wa kuongoza hata Vikao vya Mtaa tunao? Wengi tumetoka vijiwe vya Kahawa hata Halmashauri hatujui zinaendeshwaje! Si tutumie muda huu kujifunza na kufanya mambo waliyotutuma Wananchi? Au tunatafuta umaarufu ambao tulishaupoteza kitambo??
Stupid ideas from a stupid person to intelligent people! Uzoefu wa kuiba, kufisadi na kugandamiza maendeleo? Ndiyo maana wananchi wamewakataa mmebakia kulazimisha kujipenyeza mlipokataliwa! Shame on you!
 
Nimeambiwa kwamba wanasiasa wetu wameanza utoto na kupoteza muda kwa mambo yasiyo na tija. Eti wanatushawishi tususie Vikao na Ziara ya kukagua Miradi ya Maendeleo. Kwanza tujiulize, Uzoefu wa kuongoza hata Vikao vya Mtaa tunao? Wengi tumetoka vijiwe vya Kahawa hata Halmashauri hatujui zinaendeshwaje! Si tutumie muda huu kujifunza na kufanya mambo waliyotutuma Wananchi? Au tunatafuta umaarufu ambao tulishaupoteza kitambo??
wazo lako finyu sana kaka yangu sijui dada yangu, kwani kabla ya ukawa si ilikuwepo ccm, na ilipokuwepo ccm kwani kulikuwa hakuna watu, hao watu wa ukawa ndio hao hao waliotoka ccm, sasa unaposema kuwa ukawa hawajui kuongoza halmashauri unakosea, kwani wote walikuwa ccm na walipoona udhalimu wa ccm unazidi kukua siku hadi siku ndio wakajitoa ili waende upinzani waweze weka mambo sawa,
 
Wakati Nyerere anadai uhuru wa Tanganyika jibu alilopewa na waingereza ni kwamba "Ninyi hamna uzoefu wa uongozi". Kwa hiyo hoja yako si tu ni ya kizamani bali ni ya kikolono haswa!
Lakini jibu alilopewa Nyerere unalionaje na hali halisi ya afrika kiujumla?
 
Back
Top Bottom