Recent content by kim suwon

  1. kim suwon

    Simulizi: Bwana Harusi aliyejeruhiwa

    Asante dear
  2. kim suwon

    Siku ya kwanza kuingia shule ya bweni ya Serikali

    Siku ya kwanza nafika kidato cha 5 nikapokewa na watoto wa olevel wakanifikisha kwe bweni nililopangiwa sababu hiyo shule ilikua unapangwa kabla hata hujareport, nimefika tu nikatoa malapa nikaoge nabadili nguo kugeuka hamna malapa wala ndoo vyote vimeibiwa[emoji3] [emoji3] nilichukia shule...
  3. kim suwon

    Je, ulishawahi kujamba mbele ya mtu unayemuheshimu?

    [emoji23] [emoji23] [emoji23]
  4. kim suwon

    Kuishi na mke kunataka uvumilivu wa chuma

    Ndoa ni Tamu mno mkimkabidhi Mungu maisha yenu. Mie sijawahi juta kuingia kwe ndoa nazidi kumuomba Mwenyezi Mungu azidi kuwa pamoja nasi...[emoji120]
  5. kim suwon

    Mkasa wa kweli: Kisiwa cha harishi

    Asante mkuu malizia tuu
  6. kim suwon

    Rais Magufuli apinga uzazi wa mpango, asema wananchi wanapotoshwa

    Na tuzae tu kwa kweli, huu uzazi wa mpango unatutesa sana sahv wanawake, Mara uvimbe Mara vizazi vitolewe khaaa..
  7. kim suwon

    Ni ipi dawa ya kuondoa tatizo la hormonal imbalance?

    Mungu akutangulie mpnz Sent using Jamii Forums mobile app
  8. kim suwon

    Msaada na hali ya ujauzito wangu

    Nashukuru Sent using Jamii Forums mobile app
  9. kim suwon

    Msaada na hali ya ujauzito wangu

    Harufu hautoi piaa ni shombo za blood tu Sent using Jamii Forums mobile app
  10. kim suwon

    Msaada na hali ya ujauzito wangu

    Wamenipima ndio na majibu yalionyesha kila kitu kipo Sawa nilipoanza kubleed nikienda hospital kuonana na specialist kabisa baada ya kuchukua vipimo na damu pia mkojo majibu yalikuja sina shida yeyote nikapima ultrasound Mara mbili tena trh 11 na trh 16 mwezi huu pia ikaonekana viable sijui na...
  11. kim suwon

    Msaada na hali ya ujauzito wangu

    Asante sana kaka angu nashukuru Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom