Recent content by kim jung shik

  1. kim jung shik

    Tanesco Mbeya kuna tatizo kubwa; mgawo wa ratiba haifuatwi, makali ya mgawo yanaongezeka kila siku

    ni kweli kama huku isyesye jana ulikatika kutoka asubuhi mpaka jion then jion ukarud kwa muda usiozidi saamoja na nusu then ukakatika tena mpka usiku wa karibu saa4 Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
  2. kim jung shik

    What is the real meaning of 'demand and supply' in Forex market?

    Ni sawa kabisa lakin asiweke kichwan kwamba wale watu wanaobuy na kusell kwenye meta trader tu ndio wanaamua movement ya soko hlo ni broadterm kubwa sana ambalo limeinclude transactions za export and import katika currency husika kiwango cha mishahara kinacholipwa kwa foreigners na wenyej mambo...
  3. kim jung shik

    What is the real meaning of 'demand and supply' in Forex market?

    Kwenye huo mfano wa chakula nikwamba supply ya huyo mama ya chakula ni kubwa kuliko demand ambayo inamaanisha kuwa uyo mama atatkiwa kuuza chakula kwa bei ya chin kidogo ili amalize sasa suply ikiwa kubwa kuliko demand ndio inashusha thamani ya chakula lakin kwa upande wa demand sasa kama ilivo...
  4. kim jung shik

    TCRA kujenga kiwanda cha kutengeneza simu

    Hujamuelewa mtoa mada pia hujaelewa mesej nzima pia umetumia akili ndogo sana kufikiri vitu haviwezekan We may come with the phone greater than that iphone pro max 20 hhhh
  5. kim jung shik

    Hivi mishahara inafanana kwa taasisi tofauti zinazotumia scale moja?

    Lazima itofautiane kila taasisi inamalipo yake
  6. kim jung shik

    Ngazi za mishahara Serikalini - Tanzania (TGS, PHTS, PSS, SAIS etc)

    Jaman ajira za TBC hiv hyo salary scale ya PGSS 5/1 NI shingap kwa diploma
  7. kim jung shik

    GE2020 Suala la chama gani chaweza kutoa Rais 2020 limezikwa rasmi

    Umetumia lugha nzuri kuwasilisha ujumbe wako inaonyesha wewe ni mtaalamu wa lugha na uwasilishaji wa jumbe hongera kwa uwezo huo lakin pia ulichokiandika hujawianisha walaji ni waliopita au waliopo? Lakin labda kama sijakuelewa vzr ila nahis nimeelewa kuwa walaji ni ambao hawako kwenye kigoda...
  8. kim jung shik

    Daftari LA kudumu la wapiga kura

    Jamani nahitaji kujua ratiba ya daftari la kudumu la wapiga kura ratiba yake ikoje niwazi kuwa saahiz tokea tarehe 17 mpka 24 mwezi huu wameanza arusha na Kilimanjaro je sehemu nyingine kama njombe na iringa itakuwa ni mwezi upi au ni tarehe zipi jamani tunahitaj tupate vitambulisho ili...
  9. kim jung shik

    Ngazi za mishahara Serikalini - Tanzania (TGS, PHTS, PSS, SAIS etc)

    Jamani hivi salary scale ya TPGS4 ni kama kiasi gani cha mshahara
  10. kim jung shik

    Nawezaje kujiajiri na elimu yangu ya diploma (Mechanical eng)

    Kwasababu course ya mechanical ni wide sana najua mmesoma vitu vingi ikiwemo uchomeleaji yaani (welding) mmesoma design za machine mbal mbal pengne mkawa mnadesign kwa kutumia software kama solidworks/AutoCAD so unauzoefu sana na cha kukushauri mm kulingana na uzoefu wa hayo mambo hapo funguen...
  11. kim jung shik

    Metal works electrical workshop

    Jamani mimi mwanafunzi hapa Arusha lakini nimeona kuna fursa hapa kwenye metal works workshop yaani kuunda maget, metal beds, majiko ya chuma yaani tuwe madesigner fulani wa vitu vya kisasa ikiwepo kutengeneza milango ya chuma frames za madirisha kazi za kuchomelea sasa namimi. Ufundi sijui...
  12. kim jung shik

    Mkopo wa laki 300,000

    Wew unankosoa mwenzio nawew ona unakosea hyo ni tril30? Kujikutaga mnajua saba
  13. kim jung shik

    Mashamba ya miti mipaina

    Miti ina miaka mitatu sasa
Back
Top Bottom