Kihame tz Member Mar 23, 2018 15 15 Oct 21, 2019 #1 Yaani mfano mtu wa TBC mwenye salary ya PGSS 6, je anafanana na mtu wa TAFIRI mwenye PGSS 6 ki mshahara, au wanapokea pesa tofauti?
Yaani mfano mtu wa TBC mwenye salary ya PGSS 6, je anafanana na mtu wa TAFIRI mwenye PGSS 6 ki mshahara, au wanapokea pesa tofauti?
interlacustrineregion JF-Expert Member Oct 28, 2018 7,134 7,396 Oct 21, 2019 #2 Hoja ziwe fupi fupi ili niwaelewe vizuri na nimeshawahi kiti cha kwanza mbele kabisa.
kim jung shik Senior Member Mar 26, 2014 129 23 Oct 21, 2019 #3 Kihame tz said: Yaani mfano mtu wa TBC mwenye salary ya PGSS 6 je anafanana na mtu wa TAFIRI mwenye PGSS 6 ki mshahara..?! Au wanapokea pesa tofauti? Click to expand... Lazima itofautiane kila taasisi inamalipo yake
Kihame tz said: Yaani mfano mtu wa TBC mwenye salary ya PGSS 6 je anafanana na mtu wa TAFIRI mwenye PGSS 6 ki mshahara..?! Au wanapokea pesa tofauti? Click to expand... Lazima itofautiane kila taasisi inamalipo yake
ISO M.CodD JF-Expert Member Feb 17, 2013 7,278 15,313 Oct 21, 2019 #4 Wanakuambia jukumu la pili la mtumishi wa umma, baada ya jukumu lake kuu la kazi, ni kujua mishahara ya watumishi wa kufanana naye. Must be true.
Wanakuambia jukumu la pili la mtumishi wa umma, baada ya jukumu lake kuu la kazi, ni kujua mishahara ya watumishi wa kufanana naye. Must be true.
Bukondamoyo JF-Expert Member May 11, 2017 458 487 May 11, 2021 #5 Hii mada VP wazee au mpaka za kula tunda kimasihara