mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 45,751
- 55,787
Lengo Ni "KUSAIDIA KUPUNGUZA AJIRA"
Hapo sawani kutengeneza yaan kama simu ni mbovu unaipeleka wanatengeneza
Usiige kwa walioshindwaswala la kuanzisha kiwanda cha simu sio swala la kitoto.
Kwanza kupata jina ambalo linaweza kushindana na na tekno infnix itel kwa afrika masharik. Na pili je unaweza kushindana vip kidunia na samasung iphone huawei sony lg nk.
Pili je ni kitu gani ambacho kimekosekana sokoni ambacho wataenda kutatua kiwada cha simu kutoka Tanzania ikiwa blackberry walishindwa hadi saizi blackberry na viwanda vingi tu vya simu vimeacha kutengeneza simu.
Tatu serikali hiyo biashara itaweiza vip ikiwa hakuna biashara ambayo imewahi kufanya serikali na ikawafanikiwa. Kwa mfano tanesco shilika la ndege nk
Kila siku wanapata hasara mabilion ya shililingi.
Aah, kumbe,mi nikajua ni kuunda simu,,,ni kutengeneza yaan kama simu ni mbovu unaipeleka wanatengeneza
Hujamuelewa mtoa mada pia hujaelewa mesej nzima pia umetumia akili ndogo sana kufikiri vitu haviwezekanHizo simu inawezekana watu wakawa wanatembea na kidumu cha maji kwaajili ya kupozea ikiheat.
kila la heri, najua nikuassemble tu ila siyo kutengeneza