Na watamkamata mpaka lini maana kesi nyingi anazofunguliwa hazina mashiko kabisa Tanzania demokrasia bado ni vile tu mashinikizo kutoka nje.Ila kila mwanzo una mwisho aidha mzuri au mbaya pia yupo msemaji wa mwisho ambae ni mungu muweza yote .
Hivi mnajua kwa nini wanamuogopa lowasa wanajua aslimia 100 edo alishinda kwa kishindo ila jamani ni vigumu kutamka kuwa alitushinda tukamfanyia figisu ila haki ya mtu huwa haipotei bali inacheleweshwa tu.yupo msemaji wa mwisho ambae ni bwana God ulimwengu hawataamini.
Ilitakiwa mume alivyoiona angekauka tu rafiki rafiki na kumuonya huyo dada asirudie kufanya hivyo tena maana hii dunia ina mambo mengi si ajabu hata mume amefanya makubwa kushinda hayo kwa vile hayajaobekana tu angepiga kimya wala hakuna mtu angejua zaidi ya huyo rafiki yake.
Huu uzi tunapotezewa muda jamani kuna uchumba wa siku 2 na mahari juu we sio kabisa ndio maana hata mchumba kaamua kugegedwa kwingine maana amekuona hata wewe sio .
Jamani swala la mapenzi na kuachika mbona siku hizi ni kawaida tu kwa mapenzi ya kibongo ndoa zenyewe asilimia 95 ziko mahututi watu wanavumiliana tu kwa vile wanawatoto mtu anaangalia watoto zaidi .Itakuwa wewe dada huna hata mtoto nae ?mapenzi mazuri ni ya wenzetu majuu tu ya mkataba mkataba...
Shule za kata hazifanyi vizuri kwa sababu kisilabasi wako nyuma sana unakuta private wako silabasi ya 10 kata wako ya 5 lakini kwenye mtihani wa taifa hawajui kuwa wengine hawakufika huko maswali yanatolewa sawa .Na walimu wa shule za kata wala hawajali kama nyuma na wanajua kabisa .Ukiona...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.