yaani juzi juzi tu katoka kukamatwa na kesi kashinda na leo anakamatwa tena kesho anashinda kesi daah! napata shaka na maafisa polisiNa watamkamata mpaka lini maana kesi nyingi anazofunguliwa hazina mashiko kabisa Tanzania demokrasia bado ni vile tu mashinikizo kutoka nje.Ila kila mwanzo una mwisho aidha mzuri au mbaya pia yupo msemaji wa mwisho ambae ni mungu muweza yote .
Kesi za kisiasa ndivyo zilivyoNijiuliza huyu Lissu anakamatwa kila siku na kesi anawashinda si bora wamuache tu kwakuwa anawazidi kwa kila kitu wafungua kesi dhidi yake
Kwasababu anapambana na wanasheria v.ilaza.
Ivi kesi ipo kushinda na lini na mahakama gani?yaani juzi juzi tu katoka kukamatwa na kesi kashinda na leo anakamatwa tena kesho anashinda kesi daah! napata shaka na maafisa polisi
UTAFITI UNAONYESHA KWAMBA MH TUNDU LISSU NDIYE MWANASHERIA BORA KABISA KUWAHI KUWEPO KWENYE UKANDA WA MAZIWA MAKUU TANGU MUNGU AUMBE MBINGU NA ARDHI .Nijiuliza huyu Lissu anakamatwa kila siku na kesi anawashinda si bora wamuache tu kwakuwa anawazidi kwa kila kitu wafungua kesi dhidi yake
Ni kwa sababu kesi hizo huwa hazina ushahidi wa kutosha; na tena zina msukumo wa kisiasa sana. Nafikiri ataendelea kushinda!Nijiuliza huyu Lissu anakamatwa kila siku na kesi anawashinda si bora wamuache tu kwakuwa anawazidi kwa kila kitu wafungua kesi dhidi yake
Mkuu hili swali lako limekaa kichochezi.Nijiuliza huyu Lissu anakamatwa kila siku na kesi anawashinda si bora wamuache tu kwakuwa anawazidi kwa kila kitu wafungua kesi dhidi yake