Katika dunia ya leo ukiona unatajwa kila wakati ujue wamekukubali,bado hawajiamini na uyu jamaa.
Nyinyi mmeenda kwa agenda ya uchaguzi wa mwenyekiti iweje kila anaepewa maiki ni Lowa.... ,mimi nafikili kabla ya kikao walipeana muongozo wa kumshambulia kwa kila atakaepata nafasi ya kuongea.
Tukae tukumbuke Edo mtu kama watu wengine anastaili heshima na kusaminiwa utu wake hakuwa na mkataba wa kukaa maisha yake yote ndani ccm.
Binadamu wanamuasi mungu itakuwa chama
Tuangalie mifano ya kina Maltin Luther King mbona aliama RC na amefanya mambo mazuri na waroma hawamuongelei vibaya.
Magamba walikuwa na mengi ya kupanga kama waliona agenda ya uenyekiti haitoshi
Inaelekea kwa Edo wamepata pigo sana na hatawatoka midomoni mwao mpaka kizazi chao kitakapotoweka duniani
Magamba nawashauli ndani ya chama kama mtajipanga wapo bora kama Edo sio kazi ya mipasho kama wote mmezaliwa pwani
Edo upo juu wala usipige mayowe acha wakujadiri wenyewe.
Haijawai kutokea mwenyekiti kukabidi mabook manne yanayoeleza jinsi ulivyowajelui,na wamekili kuwa yanaeleza kwanini walipata mtikisiko.
Kama umejaa kwenye midomo yao itakuwa kwenye yale mabook chezea Edo weeee!
Amani kwako Edo.