Usimlaumu ndivyo uelewa wake ulivyo mkuu.Soma argument yake uielewe kwanza ndio ubwabwaje. Wewe eleza unadhani kwa nini sera ya viwanda itawezekana kabla ya mwaka huo, hiyo ndio namna bora ya kujadiliana.
Hivi tatizo lako ni elimu au kwa sababu unetoka kabila lenye asili ya ubishi tuu?
Soma argument yake uielewe kwanza ndio ubwabwaje. Wewe eleza unadhani kwa nini sera ya viwanda itawezekana kabla ya mwaka huo, hiyo ndio namna bora ya kujadiliana.
Hivi tatizo lako ni elimu au kwa sababu unetoka kabila lenye asili ya ubishi tuu?
Tunalo chaguo la Mungu tutafika tu mkuu!Mkuu Mahanju
Usitake kunichekesha nimetoka kushuhudia mahoka ya DRT na UDA wanavyofanya biashara kwa mazoea. Kama kuendesha mabasi yaani kusimamia tumeshindwa unaota viwanda by 2020? Baada ya vita vya Uganda Mwalimu alitudanganya tufunge mikanda kwa miezi 18 lakini baada ya miaka 20 yaani 1999 tulikua bado tumefunga mikanda na Mwalimu alipotutoka October 1999 alituacha tumefunga mikanda! Hawa jamaa wa kijani huwa kila uchao wanawadanganya Watanzania / Watanganyika na misamiati kuanzia "uhuru na Kazi" siasa ni kilimo " Ruksa" mtaji wa "Masikini ni nguvu zake" Mkukuta" , Maisha bora kwa kila mtanzania " Ari mpya nguvu mpya" , Kilimo Kwanza" Hapa KaZi Tu" Dai risiti" "Tanzania ya Viwanda " na mingineyo mingi. Nakuhakikishia utakuwa umeshatutoka kabla Tanzania haijawa ya Viwnda. Hizo nguo hitavaa! Kila kukicha utazuka Msemo na Watanzania kwa Uzuzu wao wanaambiwa na kukubali Mara Elimu bure na kadhalika!
Una Akili kiasipost: 16817460 said:Usimlaumu ndivyo uelewa wake ulivyo mkuu.
Kama alivyo pesa mzazi wako kwa kukuzaaPole sana
Kemea wote walio mpa pole mzazi wakoMzazi wangu anahusikaje hapa?Namkemea pepo mchafu atoke kichwani mwako!Amiin!
Hawakufanya makosa ila uwepo wa magoli ya mikono! ndo makosa yaliyofanyika chini ya wanyongaji wa demokrasia!Kama ni next impossible kwahiyo wananchi walifanya makosa 2015?
Watu kama nyie sijui mnaendeshajd famlyKwani wewe unamsada gani na ccm kwaujumla hahaha mbona vituko
Wewe kama nani ukihamia ccm ione kuna manufaa !!!
Mmeishiwa