Sera ya viwanda ikitimia 2020 nitahamia CCM

Sera ya viwanda ikitimia 2020 nitahamia CCM

Hata mie nitavaa kijani kabisa na kutembea kifua mbele pamoja na kuwa hiyo rangi sipendi kabisa ila kwa kuwa itakuwa nchi ya viwanda nitavaa kabisa.
 
Soma argument yake uielewe kwanza ndio ubwabwaje. Wewe eleza unadhani kwa nini sera ya viwanda itawezekana kabla ya mwaka huo, hiyo ndio namna bora ya kujadiliana.
Hivi tatizo lako ni elimu au kwa sababu unetoka kabila lenye asili ya ubishi tuu?
Usimlaumu ndivyo uelewa wake ulivyo mkuu.
 
Soma argument yake uielewe kwanza ndio ubwabwaje. Wewe eleza unadhani kwa nini sera ya viwanda itawezekana kabla ya mwaka huo, hiyo ndio namna bora ya kujadiliana.
Hivi tatizo lako ni elimu au kwa sababu unetoka kabila lenye asili ya ubishi tuu?

Sina muda huo mie
Kufuata asemayo Vibendera
 
Mkuu Mahanju
Usitake kunichekesha nimetoka kushuhudia mahoka ya DRT na UDA wanavyofanya biashara kwa mazoea. Kama kuendesha mabasi yaani kusimamia tumeshindwa unaota viwanda by 2020? Baada ya vita vya Uganda Mwalimu alitudanganya tufunge mikanda kwa miezi 18 lakini baada ya miaka 20 yaani 1999 tulikua bado tumefunga mikanda na Mwalimu alipotutoka October 1999 alituacha tumefunga mikanda! Hawa jamaa wa kijani huwa kila uchao wanawadanganya Watanzania / Watanganyika na misamiati kuanzia "uhuru na Kazi" siasa ni kilimo " Ruksa" mtaji wa "Masikini ni nguvu zake" Mkukuta" , Maisha bora kwa kila mtanzania " Ari mpya nguvu mpya" , Kilimo Kwanza" Hapa KaZi Tu" Dai risiti" "Tanzania ya Viwanda " na mingineyo mingi. Nakuhakikishia utakuwa umeshatutoka kabla Tanzania haijawa ya Viwnda. Hizo nguo hitavaa! Kila kukicha utazuka Msemo na Watanzania kwa Uzuzu wao wanaambiwa na kukubali Mara Elimu bure na kadhalika!
Tunalo chaguo la Mungu tutafika tu mkuu!
 
Kiwanda cha helikopta na gari aina ya kaparata tayar vimeishaonesha ni nchi ya viwanda!!!hahhahaaha yaaan kweli hii ndo tanzania ya maigizo full kukurupuka,,ngoja tuone mwisho wapicha
Dah, wabongo mna maneno jamani.
 
Kiwanda cha helikopta na gari aina ya kaparata tayar vimeishaonesha ni nchi ya viwanda!!!hahhahaaha yaaan kweli hii ndo tanzania ya maigizo full kukurupuka,,ngoja tuone mwisho wapicha
Dah, wabongo mna maneno jamani.
 
Mkuu Kaa Ukijua Kwamba Ule Wimbo Wa MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA Ambao Tumeimbishwa Sana Na CCM Hivi Sasa Wamepata Kiitikio Chake Kinachoitwa TANZANIA YA VIWANDA.
 
Wee naona huna mpango wa kuhamia huko ugambani sababu za kukufanya uende huko its obvious ni geresha kwa sababu tunajua it's next to impossible!😕
 
Wee naona huna mpango wa kuhamia huko ugambani sababu za kukufanya uende huko its obvious ni geresha kwa sababu tunajua it's next to impossible!😕
Kama ni next impossible kwahiyo wananchi walifanya makosa 2015?
 
Duh mkuu una moyo mgumu sana yaani bado unaamini kutakuwa na Tz ya viwanda daaaah
 
Back
Top Bottom