Wadau,
Nilifanya muamala wa kuhamisha pesa kwa njia ya simu, bahati mbaya pesa sikuipata. Nilianza kufuatilia kwa kupiga simu NBC baada ya siku moja. Majibu ni kuwa pesa yako itarudi ndani ya saa 24. Leo ni siku ya tisa pesa haijarudi.
Nimefuatilia kwa kupiga simu kwa huduma kwa wateja na...
Jamani tuache kudanganyana. Hakuna haja ya kuwa na Tume wakati serikali inadai mikusanyiko/maandamano si halali lazima yazuiwe. Sasa kama walienda kuyazuia kwanini wanaunda tume na kupoteza rasilimali chache za Taifa.
Kazi hutangazwa na kuwekwa wazi aina na sifa za mwombaji. Kama anahitajika kamishina wa polisi sifa zake za kielimu na uzoefu zitawekwa. Hivyo mshahara hutegemeana na nafasi na aina ya kazi uliyoomba na kuajiriwa na siyo degree.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.