How Many Girlfriends or Boyfriends Have you Dated So Far

How Many Girlfriends or Boyfriends Have you Dated So Far

mshikaji alinihesabia anaowafahamu wakajaa costA na wengine wakabaki. na hapo wengine sijawahi kumuambia. mie wengi nimewasahau mpk nikutane nao ndo nakumbuka

Dah.... asavali sijaisoma hii comment!!!!!! :doh:
 
niambie mbona umeweka mmmmmmm

one night stand- unabang once with someone kesho yake kila mmoja anaendelea na mambo yake kama hamna kiyu kilichotokea kati yenu.........inakuwa mmeyaacha pale pale.

no string attached- mnabanga , having good time , having friendship lakini inapokuja suala la commetment au kufuatiliana hamna kitu kama hicho ( kuna movie inaitwa NO STRING ATTACHED itafute itakupa picha.)
 
one night stand- unabang once with someone kesho yake kila mmoja anaendelea na mambo yake kama hamna kiyu kilichotokea kati yenu.........inakuwa mmeyaacha pale pale.

No string attached- mnabanga , having good time , having friendship lakini inapokuja suala la commetment au kufuatiliana hamna kitu kama hicho ( kuna movie inaitwa no string attached itafute itakupa picha.)

au frieds for benefit
 
mh aisee! I lost count when I was 20! Years back! Ilifika mda nawatamani mbaya ila naona kama kuwa gonga tu haitoshi sijui niwale!
I was becoming a psyco I think hehe!
Niliowapenda kwa dhati 1 au 2.
Sidhani hata kama nikitu kinachotakiwa uhesabu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom