Ile ni beach party,ulitaka wavae kama mama Rwakatare kanisani?yaani mdau huoni kwamba zile ni nguo za beach? angalia watu akiwa ktk beach party wanavaaje...acha umbea wa kishamba huo..kwa hiyo ungekuwa wewe ungebaka wale mabinti pale possible unatabia za kubakabaka wewe...shame on u.:A S angry:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.