Hakuna Aya wala nakala yoyte katka uislamu inayosapoti mwanaume kumwingilia mwanamke kwa nyumaa...ni haramu na dhambi yake ni mbayaa kuliko dhambi yoyoteee ileee....kuhusu io hadithi ni kua swahaba alienda kwa mtume na kulalamika huku akilia kua amefanya dhambi ya kumuingilia mke wake kwa...
Kiongozi hiki kitabu ulichokitumia mbona kimeandikwa hovyoo...ni kitabu cha wasio na dini kilichobadili Aya na tafsiri ya Quran kwaajili ya kuuchafua uisilamu...Ila muogope Sana MUNGU na ipo siku utaulizwa juu ya uongo na uu uchafu unaousambaza kwaajili ya kuuchafua uislamu......Muogope Sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.