GuDume
JF-Expert Member
- Jan 18, 2015
- 6,652
- 14,247
Inawezekana ukawa unajua ila si mbaya tukumbushane kidogo. Katika maisha wenzetu wazungu wana kitu wanaita Dedication na Commitment. Wanaheshimu sana mambo hayo.
Nadhani umesoma,umesikia habari nyingu kuhusiana na meli kubwa kabisa iliyopata kuzama miaka hiyo al maarufu kwa jina la Titanic. Tamka /Taitanik/ good.
Basi wakati meli hiyo inazama taratibu huko katika kina cha bahari. Mainjia wa meli hiyo hawakuwa wakihangaika kugombea maboya au kukimbilia kwenye mitumbwi ya uokozi.
Wao walikuwa busy kuhakikisha umeme upo/ taa zinawaka ili abiria waweze kujiokoa.na hatimaye wao walifariki wakiwa katika tukio hilo la kishujaa la kuhakikisha abiria wao wanaokoka.
Hii ndiyo aina ya uongozi tunayotaka tuwe nayo. Dedication na commitment kwa kazi na watu wako. Hawa walikuwa mashujaa wa aina yake. Hakuna hata Injia mmoja aliyejiokoa katika meli ile. Walijitolea kufa kwa ajili ya watu wengine.
Haya nawe sema unalolijua kuongezea matukio haya ya mashujaa wenzetu huko Ulimwenguni.
Nadhani umesoma,umesikia habari nyingu kuhusiana na meli kubwa kabisa iliyopata kuzama miaka hiyo al maarufu kwa jina la Titanic. Tamka /Taitanik/ good.
Basi wakati meli hiyo inazama taratibu huko katika kina cha bahari. Mainjia wa meli hiyo hawakuwa wakihangaika kugombea maboya au kukimbilia kwenye mitumbwi ya uokozi.
Wao walikuwa busy kuhakikisha umeme upo/ taa zinawaka ili abiria waweze kujiokoa.na hatimaye wao walifariki wakiwa katika tukio hilo la kishujaa la kuhakikisha abiria wao wanaokoka.
Hii ndiyo aina ya uongozi tunayotaka tuwe nayo. Dedication na commitment kwa kazi na watu wako. Hawa walikuwa mashujaa wa aina yake. Hakuna hata Injia mmoja aliyejiokoa katika meli ile. Walijitolea kufa kwa ajili ya watu wengine.
Haya nawe sema unalolijua kuongezea matukio haya ya mashujaa wenzetu huko Ulimwenguni.