Mh. Adam Kigoma Ali Malima kwa ukarimu wetu sisi wana MARA natumia wasaa huu na ukurasa huu kwanza kukukaribisha huku nyumbani kwetu KARIBU SANA.
Mheshimiwa mara ufikapo huku kwetu usisahau kununua PANGA, MKUKI, UPINDE NA MISHALE, RUNGU na SIME sio kwamba unaenda vitani bali ni kwasababu ndio...
Wakati Fulani nikiwa katika mafunzo ya Kijeshi katika chuo cha Mafunzo ya Kijeshi katika Mkoa mmoja hapa Tanzania tulikua tukikusanyika wakati wa jioni kujifunza neno la Mungu pamoja na kutiana Moyo ili tuzidi kua wavumilivu wa kiroho na kimwili.
Nilikua na redio yangu ndogo ambayo Nlikua...
Hivi itakuaje siku ikijulikana nyinyi wenyewe Ndo mnauana kama mlivomfanya Bob Chacha Wangwe? Mnailaumu serikali kwa lipi hasa? Mmeshaona anapata umaarufu kuliko nyie sasa mnaisingizia serikali....subirini mje muumbuliwe sasa
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.